Tanesco imeingia maktaba wa dola milioni 309.26(zaidi ya tsh bilioni 673 na milioni mia sita ishirini) kujenga line ya USAFIRISHAJI ya kilometa 414 toka Isinya nchini Kenya.
Dondoo muhimu*...
DC.HAPI AFUNGUA MASHINDANO YA KLABU BINGWA TAIFA YA NDONDI -
Mkuu Wa wilaya Ya Kinondoni Mheshimiwa Ally S Hapi (Mgeni Rasmi) Leo amefungua Mashindano ya Klabu Bingwa Ya Taifa ya Masumbwi...
Ivi hawa mashetani TANESCO kama mkulu anavowaita kwasababu wanawatesa wapiga kura wake sio sawa na MA(SHETANI)anaye/wanao watesa vijana wapiga kura wake kwa kuwanyima ajira na kutoa ahadi feki na...
Samahani wadau naombeni mnijuze gharama za kutalii mbuga za wanyama,kwa mbuga za manyara,mikumi na serengeti ama ambaye anajua ipi ni nzuri kuanzia huduma,pia gharama za viingilio,huduma za vyumba...
Mimi Ni mteja wa Airtel mwenye no.0683 319666.Nimekuwa nikijaribu kuwatafuta hawa Airtel kwa no.100 pindi ninapokuwa Na matatizo nao,maelezo Yao hayanipeleki huduma kwa wateja!
Nilikwenda...
Tumeona jinsi mawaziri watatu na mkuu wa Mkoa walivyo ng'aka na kuchukua hata haraka baada ya kuona clip ya walimu wakipiga mwanafunzi.
Safi sana katika kulinda haki za binadamu. Je serikali...
C&p kutoka kwa Mathias Kanali
SAKATA LA MBEYA SEC NA SURA NYINGINE
WIZARA YA ELIMU IMETOA ADHABU KWA MWALIMU AMBAYE HAKUHUSIKA NA SHAMBULIO DHIDI YA MWANAFUNZI
Na Mathias Canal
Ni kama siku...
Utafiti mkubwa niliofanya kwa miezi 10 huku nikifanya mahojiano na zaidi ya vijana 3500 nakutumia vyanzo kadhaa vya nje na ndani nimegundua Jamii Forums inatoa ajira nyingi nchini huku ikishika...
Kuna ile issue ya dada kubakwa na njemba mbili guest huko morogoro kisha kurecord video na kuisambaza.
Hili tukio lilowagusa sana watanzania kupelekea viongozi kutoa matamko mbalimbali wahusika...
Katika watu ambao nawaheshimu ni wamiliki wa magari mabovu;
Utafiti uliochapishwa katika jarida moja nchini Uingereza unaonesha kwamba mtu mmoja katika kila watu 10 wanaomiliki magari mabovu...
Ethiopia imezindua treni yake mpya ya kutumia umeme ambayo itakuwa imerahisisha sana usafiri nchini humo, pia Ethiopia tunaona shirika lake la ndege lilivyo maarufu na ndege nyingi kubwa
Lakini...
Katika habari zilizoambatana na kutokea kwa tetemeko la aridhi huko mkoani Kagera pia ilikuja habari ya njaa iliyosababishwa na ukame katika wilaya ya Kerwa mkoani humo, kilichotokea baada ya...
Wakuu hebu tuambizane siku ya kwanza kula kilaji(pombe) ilikuaje!
Mimi bhana nlipata mzuka wa kutongoza, kuna binti mmoja nlitokea kumpenda sana so siku ya kwanza kupiga kilaji ilibidi nlienda...
Mwanaume mmoja anashikiliwa na Polisi nchini Uganda kwa tuhuma za kumzika mwanae wa kiume mwenye miaka mitano akiwa bado hai.
Mtuhumiwa inadaiwa alimfukia ili kumuepusha na mama yake wa kambo...
Anaitwa John Mongrel maarufu kama General ni nyapara na kiongozi wa kikundi cha 28 gerezani
Hebu tizama video hii ,ujione maajabu ya General,nyapara asiyekuwa na mzaha
Inasikitisha,inauma mwanafunzi kupigwa kupita kiasi kama ilivyotokea Mbeya sekondari lakini inakera,inafadhaisha na inatesa akili mwalimu kukabwa koo au kukwidwa na mwanafunzi tena mbele ya...
Wadau kunavideo inasambaa huko Instagram ikionesha wanafunzi secondari wamekamatwa wakinywa viroba na kuvuta bang kibaya zaidi ni watoto wakike.
Hii inapaswa kuangaliwa kwa makini maana ile...
Ni baada yakupokea malalamiko ya mwanandoa ambae ni mdogo wangu kuhusiana na lala miko la mdogo wangu la kutelekezwa na mmewe ambaye amechuma nae mali nyingi nakumfanyia vitendo vyaaa unyanyasaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.