Mmoja amekuja anajisifu kuwa ni "war President" ambaye ameapa ku root out terrorism, mwingine aliongoza nchi kwa iron fist lakini alihukumiwa kinyongo baada ya kukutwa na hatia ya kuua watu 165...
Waangalieni Hawa nao ndiyo wanakizika chama. Washazika kikundi cha wapiga kelele (UKAWA) ambacho wala hakitambuliki na hakipo hata kikatiba.
Baada ya haya mazishi kinachofuata n mazishi ya...
Kuna utapeli umeenea sasa hivi Dar wa watu wanaodai wamepata wafadhili kwenye mradi wa kusaidia watoto wenye mtindio wa ubongo au wanasema wana shamba darasa wamefungu huko Lindi, wanataka...
Leo Arnold Schwarzenegger amepost picha hii na kusema Time Has Changed. akimaanisha kwamba Muda Umebadilika. Hakuweka picha hii ili mradi tu, aliondoka nyumbani kwake akiwa na mablanketi yake...
hivi ni kwanini hapa tanzania mwanamke akivaa cheni kiunoni au miguuni anaonekana muhuni?
mbona wahindi wanavaa nguo zao zile tumbo linabaki lote nje na vikuku kibao ,puani kiunoni miguuni na...
Ninacho jua mm bajeti au matumizi yoyote ya Serikali hupangwa na bunge! Natamani sana kufahamu bajet ya kununua ndege hizi za ATCL ilipangwa bunge lipi? Tenda ya kununua hizo ndege kapewa nani...
Hivi karibuni serikali imetangaza kuingia ubia Na vyuo maalufu Tanzania Na Africa mashariki kwa ujumla. Vyuo hivyo ni vile vinavyomilikiwa Na kanisa Catholic ,vyuo hivyo ni Don bosco vilivyopo...
Habari wanajamvi?
Nimekuwa nikiona bidhaa mbalimbali za asili kama Asali mbichi, mayai ya kwale, mafuta ya ubuyu n.k yakiuzwa kwa gharama za juu mnoo ukilinganisha na processed goods.
Naomba...
My Take:
Hii Barua imeandikwa kimafumbo mafumbo, hawajafunguka vizuri. Ila kwa hisia zangu, hawa masheikh wanaoongelewa ni wale walioenda kwa Mchungaji Gwajima siku ya Jumapili kumtembelea na...
Tunaomba serikali ituweke wazi kama mambo yakupanda madaraja .pesa za likizo na mabo mengine havipo tena mtwambie.
Waziri wa utumishi kila mara utasikia tunaanza kuhakiki upya vyeti kusiko isha...
Ni juzi vyombo via habari karibu vyote kupitia jukwaa la wahariri (TEF) walipitisha kwa kauli moja makubaliano ya kutoandika wala kutangaza habari yoyote inayomhusu Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam...
Katika kile kilichosemwa makubaliano ya kutotaja jina la Makonda hatimae tunaona labda lilikuwa kiki tu km watoto wa mjini wasemavyo.
Inawezekana ili kuuza gazeti au habari kwa sasa lazima uweke...
Mh. Rais tunakupongeza kwa juhudi zako za kupambana na wizi, ubadhirifu na ufisadi wa mali za umma ambapo imepelekea kuokoa fedha nyingi za serikali kupotea mikononi mwa watumishi wachache wenye...
Ubunge una raha yake kwa kipindi fulani,lakini pia n adha kubwa sana kwa wananchi unaowaongoza,yaani haukai ukatulia,labda ubadili namba ya simu (na wasiipate).
Saa 2 asubuhi unaamka, unakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.