Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Ni katika mizunguko ya hapa na pale katikati ya Jiji nikakutana na huyu mama.
Nikampiga jicho mara tatu. mama bado chuma kabisa. she is a mother. so cool. reading between lines mama amejaa hekima sana na kwaa kweli Baraza la Mawaziri la Jamhuri linamuhitaji.
Kama awamu ya tano imemuweka kando tuseme ishaallah Awamu ya Sita imurudishe Barazani mapema tu.
Nikampiga jicho mara tatu. mama bado chuma kabisa. she is a mother. so cool. reading between lines mama amejaa hekima sana na kwaa kweli Baraza la Mawaziri la Jamhuri linamuhitaji.
Kama awamu ya tano imemuweka kando tuseme ishaallah Awamu ya Sita imurudishe Barazani mapema tu.