Namna gani pale Phenyo SeramengKulikoniiii? View attachment 1177804
Hii comment ni muruwaaa!!Mpira wa Tanzania ni kama mtu mzima kuogelea kwenye dimbwi/swimming pool ya watoto kisha kujuiona ni muogeleaji mzuri sana, ikifika wakati wa kuongelea kwenye swimming pool ya size yake inakua balaa, anameza maji kama rejeta, anatoka hoi.
Yanga/simba zikifunga vitimu vya hapa bongo kina kagera basi wanavimba vichwa balaa, wakikutana na size yao ni 5 au 6 wanarudi nazo bongo kimia..
bila shaka nyie wote mtakuwa wananchiHii comment ni muruwaaa!!
Mpira wa Tanzania ni kama mtu mzima kuogelea kwenye dimbwi/swimming pool ya watoto kisha kujuiona ni muogeleaji mzuri sana, ikifika wakati wa kuongelea kwenye swimming pool ya size yake inakua balaa, anameza maji kama rejeta, anatoka hoi.
Yanga/simba zikifunga vitimu vya hapa bongo kina kagera basi wanavimba vichwa balaa, wakikutana na size yao ni 5 au 6 wanarudi nazo bongo kimia..