Askofu Mkuu wa kanisa la Anglikana Tanzania,Dk Chimeledya amesema kwamba leo ndo mwisho wa aliyekuwa askofu mkuu wa jimbo la Dsm Dk Valentino Mokiwa kulitumikia kanisa hilo. Kuanzia leo si...
Mambo muhimu kama vile Bunge havioneshwi lakn kikao cha chama tu kila sehemu live, nchi nzima sio ccm bwana wengne hatna chama ni watanzania na sio wafuasi wa siasa, hivyo mwatukera! Samahan...
Ukilinganisha maambukizi ya ya Ukosefu wa Kinga Mwilini(UKIMWI),kati ya nchi za mashariki ya kati na Afrika iliyo kusini mwa jangwa la Sahara ya 5%,kuna utofauti mkubwa sana.Kwa nini tusifuate...
MASANJA MKANDAMIZAJI
AKILI YAKO UTAJIRI WAKO:
Laki tano, Mshahara wa Ma-Teller wa Benki hapa mjini Laki Tano, Bei ya TECNO PHANTOM mpya kabisa kwa kujishau Snapchat na Istagram Laki Tano, Bajeti...
KUFUNGWA barabara kwa ajili ya kuhamisha Daraja la Chuma (MABEY BRIDGE) na kuliweka kwenye barabara ya muda (DIVERSION ROAD) katika Daraja la Mlalakua Barabara ya Mwai Kibaki.
Wanajamvi naomba kujua kama service road huwa ni one way or two ways. Leo nimesimamishwa maeneo ya kimara bucha nikiwa service road na traffic akaniambia ni kosa kutumia service road kama two...
Kama sikosei nimemsikia Ndugu PolePole akitamaka kwenye huu mkutano wao kuwa kuna Madiwani na Mbunge wameamua kujipeleka CCM, je anamaanisha waliokuwa Madiwani na waliokuwa Wabunge, yaani kina...
Umofia Kwenu Wana JF,
Kuna kero Kubwa sana hasa kwenye viwanja vilivyopimwa vya halmashauri,Wakishauza viwanja vyao wanasahau kabisa kuwaletea miundombinu kama kurekebisha barabara,kupeleka...
Wanajamvi, habari zenu kwa mpigo!
Kuna kitu kimenishtua leo.
Nilichungulia mkutano wa CCM Dodoma na kuona Hamfrey amechangamka sana ukilingalisha na wajumbe wengine.
Nikaandika polepole (kwa...
JUMUIYA ya Kikristo Tanzania (CCT) imetoa waraka uliojumuisha mambo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuwataka viongozi kutenda haki, kutokuwa na upendeleo, kuheshimu Katiba na sheria za nchi.
Pia...
Family bonding - muunganiko wa kifamilia ni jambo jema sana! Family conflicts - migogoro ya kifamilia ni jambo baya sana... Msingi wa umoja katika ukoo huanza kwenye familia.
Tuna familia na koo...
Kuna kijana ambae alimpiga bastola papa wa kule Roma lakini baadae yule kijana aliomba msamaha na papa akamsamehe japo bado jamaa kafungwa.
Kuna jamaa alimpiga kofi mwinyi (Raisi wa 2) kipindi...
Naiandika tungo hii nikijua ya kuwa
Ni kwa wale wana kaya kuu, walio mahiri
Kabisa katika kaya iliyotukuka sana!
Wenye hekima kama wendawazimu na
Wenye busara kama vichaa nikijua fika ya kwamba...
MWALIMU wa shule ya sekondari ya St Margareth wilayani Igunga amekamatwa na boksi za pombe aina ya viroba 825 akiwa amevihifadhi katika duka lake.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora, Hamisi...
Habari wadau,
Mwenye ujuzi wa kilimo cha Dill, Basil, coriander, lettus, butternut, beetroots na leeks naomba msaada anipe maelekezo ya namna ya kulima, na mahitaji (Udongo wa hali gani na hali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.