Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,274
JELA MAISHA KWA KULAWITI, KUBAKA MTOTO WA MIAKA MITANO
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kifungo cha maisha jela Isaya Athanas (30) baada ya Mahakama hiyo kumpata na hatia ya kosa la kulawiti na kubaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitano (5).
Katika utetezi wake, Isaya aliomba kupunguziwa adhabu kwani shetani alimpitia. Utetezi ambao Mahakama hiyo iliutupilia mbali.
Je unadhani kutokana na vitendo vya ubakaji na ulawiti wa watoto wadogo kukithiri kuanzia ngazi ya familia adhabu ya kifungo cha maisha jela inatosha au kuna haja ya kukazia hukumu hii kwa kuongeza adhabu zingine sambamba na kifungo cha maisha jela?
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kifungo cha maisha jela Isaya Athanas (30) baada ya Mahakama hiyo kumpata na hatia ya kosa la kulawiti na kubaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitano (5).
Katika utetezi wake, Isaya aliomba kupunguziwa adhabu kwani shetani alimpitia. Utetezi ambao Mahakama hiyo iliutupilia mbali.
Je unadhani kutokana na vitendo vya ubakaji na ulawiti wa watoto wadogo kukithiri kuanzia ngazi ya familia adhabu ya kifungo cha maisha jela inatosha au kuna haja ya kukazia hukumu hii kwa kuongeza adhabu zingine sambamba na kifungo cha maisha jela?