FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
Picha ni kama zinavyojieleza
Fala wwsijaelewa point yako, au unakosoa lugha ulitaka waandike fire extinguisher ??
Ndio aliyewàndikiaFala ww
Unaona ipo sahihi ?
sijaelewa point yako, au unakosoa lugha ulitaka waandike fire extinguisher ??
Nafikiri anamaanisha F/Extinguishers zimewekwa mahali pasipotakiwa yaani nyuma ya gari badala ya kuwekwa karibu na dereva ili iwe rahisi na haraka kwa dereva kuzitumia pale moto unapotokea
Pia hapo zilipo ni rahisi kuibwa awapo kwenye mwendo mdogo hasa mlimani
Yote yamezingatiwa.Moto huanzia mbele kwenye Injini Na tenki la mafuta ya gari ukianza mbele mtu yeyote aweza ichomoa nyuma kuzima moto si lazima dreva.Ni vigumu moto kuanzia nyuma ya tanker hivyo ni rahisi mtu kuichomoa Na kuanza kuzimaTatizo ni kwamba hizo F/ext zimewekwa kutimiza takwa la kisheria na sio takwa la kiufundi
Yote yamezingatiwa.Moto huanzia mbele kwenye Injini Na tenki la mafuta ya gari ukianza mbele mtu yeyote aweza ichomoa nyuma kuzima moto si lazima dreva.Ni vigumu moto kuanzia nyuma ya tanker hivyo ni rahisi mtu kuichomoa Na kuanza kuzima
Experience ya mioto ya malori ya mafuta kote Duniani ni kuwa mioto mingi huanzia mbele sio nyuma ndio maana ikaamuriwa fire extinguisher ziwe nyumaKwa nini moyo huanzia mbele, na kwa nini ni vigumu moto kuanzia nyuma? Ukizingatia hilo linabeba mafuta yaliyo nyuma, kukiwa na kuvuja na ikatokea kuna chanzo cha moyo karibu, huo moto hautaanzia mbele bali hapo kwenye mvujo wa mafuta.
Haileti mantiki, wakati mwingine haya matanker hugongana ma magari mengine, kichwa huungua mwishoni au kutokuungua kabisa, ila tanki linalipuka kwa moto.Experience ya mioto ya malori ya mafuta kote Duniani ni kuwa mioto mingi huanzia mbele sio nyuma ndio maana ikaamuriwa fire extinguisher ziwe nyuma
asante kwa dharau zako. Wewe una akili sanaFala ww
Unaona ipo sahihi ?
Kipimo cha IQ za wanachama wa JF ya GT.
Sasa matusi ya nini mkuu,si umueleweshe tuFala ww
Unaona ipo sahihi ?
OK!Yote yamezingatiwa.Moto huanzia mbele kwenye Injini Na tenki la mafuta ya gari ukianza mbele mtu yeyote aweza ichomoa nyuma kuzima moto si lazima dreva.Ni vigumu moto kuanzia nyuma ya tanker hivyo ni rahisi mtu kuichomoa Na kuanza kuzima