africansongs
Member
- Jan 5, 2018
- 83
- 225
Kuna ndege inadaiwa imeanguka Dodoma.
Watu kadhaa inaonekana wamefariki.
=====
Hakuna ndege iliyoanguka Dodoma, bali yakuwa mazoezi ya utayari yaliyofanywa na Mamlaka ya Viwanja vya ndege ili kuangalai ni kiwango gani cha utayari kwa Vyombo husika vinavyohusika pale ajali inapotokea.
Watu kadhaa inaonekana wamefariki.
=====
Hakuna ndege iliyoanguka Dodoma, bali yakuwa mazoezi ya utayari yaliyofanywa na Mamlaka ya Viwanja vya ndege ili kuangalai ni kiwango gani cha utayari kwa Vyombo husika vinavyohusika pale ajali inapotokea.