Mahakama Kuu ya Tanzania, "Masijala ya Dar es Salaam" mbele ya Mhe Jaji Dyansobela katika shauri No. 28/2017 leo tarehe 31.03.2017 imetoa amri dhidi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kutotoa ruzuku ya...
Wakuu, Salamu ziwafikie wote na Heri ya mwaka mpya.
Wadau wa mambo ya utalii wa ndani na mambo ya kijamii, Teamrafiki kwa uchache tumeandaa Tour ya kupanda mlima Kilimanjaro mwezi wa Tatu mwaka...
Nimekuwa naifuatilia sana tamthilia hii ya designated survivor na mengi yanayoonyeshwa yanaakisi changamoto katika kutawala nchi. Rais Kirkman ambaye hakutarajia kuwa Rais anaukwaa urais baada ya...
Waziri wa mambo ya ndani Mwigulu Nchemba mwenye dhamana ya jeshi la polisi alisema yule mtu aliyemtolea na kumtishia bastola Nape ameshakamatwa tayari.
Lakini polisi ambao wako chini ya waziri...
Uongozi wa Shirika la Umeme Tanesco kwa Kituo cha hapa Himo(Kilimanjaro) wamekuwa wababaishaji sana. Rushwa imejaa kila kona.
Sisiwananchi wa vijijini (Kirua Vunjo, Mwika, Kilema, Marangu)...
Wasomi wengi mara nyingi wakisoma sana huwa wanakana uwepo wa Mungu lakini wakati huohuo hawaamini ushirikina. Kuna Group kubwa duniani la athiests(watu wasioamini uwepo wa Mungu na Shetani ) na...
kwa masikitiko makubwa halotel wamenifugia na wakati siku zote na nunua salio 1000 na kuunganisha mb leo nimefungiwa na wameniletea ujumbe huu
Mpendwa mteja! Namba yako imefungiwa kwa muda...
Salaam zikufikie popote ulipo.
Niende moja kwa moja kwenye point,kupitia wizara yako ulitoa waraka kwa watumishi kuhamishwa(ikama) kwa walimu katika kila halmashauri na ukasisitiza mambo haya...
Baada ya Rc wa Dar kufanya uvamizi katika kituo cha habari cha clouds, kulifuatiwa kikao cha bodi ya wahariri kulaani vikali kitendo hicho na kutangaza hatua za kutokurushwa au kuripoti habari...
Wanajenzi habari za mda huu
Naomba kuuliza ni gari ipi ambayo ukipanda kutoka dar to mwanza iko vizuri na ni luxury nataka nifanye safari huko j3 nikatembelee sehemu ya makumbusho kolomije
Tukiacha wale waliokulia kwenye exposure na kila kitu, Uswahilini au mitaani ambapo wengi tumekulia tulikuwa hatunaexposure ya vitu vingi sana. Kuna watu hadi wanafika Chuo kikuu walishataka kuwa...
Mbunge Mhe Lijualikali: Nimepata mateso makali Ukonga.
Kuishi gerezani unapaswa kuwa mvumilivu na mwenye busara. Kuna mateso ya kikatili ambayo ambayo wafungwa wanafanyiwa. Kuna wakati niliumwa...
Kumekuwa na taarifa kwamba kuna vurugu mpakani mwa Kenya na Tanzania nimejaribu kusoma makala iliyoandikwa na gazeti la the star kenya Namanga cuts water to TZ in protest against listing Kenyans...
Kuna ndugu yangu anaishi wilayani Kahama, anasema leo ni siku ya tatu maji hayatoki kahama , kuna fununu kuwa Tanesco wamekata umeme katika idara ya maji wilaya pamoja na mkoa wa shinyanga, je...
Muuguzi mmoja mkoani Mara jana amenusurika kwenda jela kwa baada ya kubainika kutumia cheti ambacho sii chake kupata kazi serekalini alihukumiwa jana. Kwemda jela au alipe fain baHti kalipa fain...
Habari za leo rafiki? Naomba nikushirikishe changamoto mpya ninayokwenda nayo, kama utaiweza karibu.
Mpango uliopo sasa ni kusoma vitabu 500!!
Ndio vitabu mia tano na mpango huu ni wa miaka...
Wakazi wa Musoma mjini imewabidi kuchota maji ziwani baada ya mamlaka ya maji safi na maji taka mjini humo (MUWASA) kuwakatia umeme kutokana na malimbikizo ya madeni
Ndugu waungwana,
Naomba kuchukua nafasi hii kumuombea msamaha kijana Makonda kwa makosa yake alioyafanya, najua wengi tulichukia na kupaza sauti zetu.
Natumaini kwa utamaduni wetu mtu akikosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.