Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Moderator naomba Uzi huu ujitegemee wenyewe tafadhali Wadau hamjamboni nyote? Pamoja na ushahidi na dalili nyingi kutoka maandiko mbalimbali ikiwamo Biblia, kwanini ndugu zetu wakiristo bado...
7 Reactions
76 Replies
3K Views
Mpango wa Serikali wa Gridi ya Taifa ya Maji ni mkakati mahsusi unaolenga kuunganisha vyanzo vikuu vya maji nchini kupitia mtandao wa miundombinu ya usafirishaji wa maji kwa wingi (bulk water...
1 Reactions
5 Replies
233 Views
Kama unasumbuliwa na maumivu ya jino au kama una meno yanayo kusumbua soma hapa. Hasa ni kwa yale meno yenye maumivu makali maana kuna aina zaidi ya moja ya maumivu ya jino. ✍Ila Naandika hapa...
0 Reactions
1 Replies
49 Views
Tarehe 21 mwezi wa 5 mwaka 1996 nilikuwa nna miaka kumi nimebakiza siku chache kutimiza miaka 11( I was born on May 31) Nikiwa natoka shuleni ( nilikuwa darasa la tano) nakuta kuna watu wengi...
34 Reactions
168 Replies
3K Views
  • Redirect
Ni suala la muda tu, muda utazungumza. Abdul na Wanu watapitia kipindi kigumu zaidi ya alichopitia Humphrey Polepole, wewe kama mzazi utashuhudia na hutakuwa na msaada wowote. Asante.
2 Reactions
Replies
Views
Kwakuwa serikali dhaifu na haramu ya Samia imeshindwa kumtafuta ndugu yetu Humphrey polepole, tutaanza kampeni nyumba kwa ngumba mpaka tumpate ndugu yetu. Nyumba tunazotilia shaka: Nyumba zote...
10 Reactions
73 Replies
1K Views
Ndege ya Air Tanzania ya abiria na mizigo, sasa rasmi, kuanza safari ya moja kwa moja kutoka Tanzania kwenda jijini Moscow, nchini Urusi kuanzia mwishoni mwa mwezi Juni, 2026
0 Reactions
9 Replies
198 Views
Imekuwa kawaida sana kusikia migogoro, ubadhilifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya taasisi za kidini. Lakini ukweli ambao wengi wanaogopa kuusema hadharani ni kwamba baadhi ya...
10 Reactions
62 Replies
1K Views
📌MSIMAMO WA Rais SAMIA BEI SARUJI WATIKISA — Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesisitiza hatua za kudhibiti kupanda kwa bei ya saruji na kuhakikisha wananchi wanapata bidhaa kwa bei nafuu. 📌Mhe...
1 Reactions
2 Replies
213 Views
Biblia inavyosema kuhusu kiburi Kiburi siyo dhambi unayofanya kwa njia sawa na kuiba au kusema uwongo. Ni mtazamo wa moyo na njia ya kufikiria. Huwezi kuona upepo, lakini unaweza kuona athari za...
2 Reactions
2 Replies
56 Views
Kutokana na uzoefu wangu binafsi, nashauri mtu yeyote anayefikiria kujiunga na Savanna Fibre kuwa makini sana kabla ya kufanya malipo. Nilifanya malipo kwa matarajio ya kuunganishiwa huduma kwa...
12 Reactions
46 Replies
830 Views
Sijawahi kusikia au kusoma maelezo yoyote kuhusu kwa nini binadamu wengine wamekuwa Waafrika, Wazungu, Waarabu, Wahindi n.k ikiwa wote tulitoka kwa Adamu na Hawa.
13 Reactions
95 Replies
864 Views
Habari wakuu, Nikiwa mfanyabiashara wa retail, leo nimeona nitoe shukrani za dhati kwa mitaa ya Kariakoo ambayo imekuwa sehemu kubwa ya mafanikio yangu. Nilianza nikiwa nimeajiriwa kwenye...
15 Reactions
28 Replies
909 Views
HUNA SABABU YA KUWA BABA YA KAMBO HASA UKIWA CHINI YA MIAKA 45. Anaandika, Robert Heriel Tz Mtibeli. Naongea na vijana wa Tibeli, naongea na binti za Tibeli. Nazungumza na wanaume wa Tibeli...
18 Reactions
178 Replies
1K Views
Makamu wa Rais wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ameitaka Wizara ya Viwanda na Biashara kukaa meza moja na wazalishaji wa saruji nchini ili kuweka mikakati ya haraka itakayohakikisha bidhaa hiyo...
4 Reactions
34 Replies
725 Views
Haya mchongo huo hapo msije sema sijawasanua.
2 Reactions
4 Replies
126 Views
Ndani ya JWTZ kuna mfumo thabiti sana wa mgawanyo wa madaraka na udhibiti, tofauti kabisa na mtazamo wa watu wengi mnavyodhani kwamba kiongozi mkuu mmoja ana mamlaka ya kufanya kila kitu peke...
1 Reactions
13 Replies
144 Views
Back
Top Bottom