Watanzania wenzangu, inasikitisha kuona kuwa katika Wilaya ya Kahama, ambayo inakusanya mapato kwa kiwango kikubwa, bado kuna baadhi ya maeneo ya kiutawala ambayo hayana ofisi za viongozi wa...
Oil ya pikipiki tulikuwa tukinunua kwa Shilingi 12,000 ya Km 5,000 mwezi uliopita, sasa tunauziwa Shilingi 18,000 hadi 20,000.
Inakuwaje tuna pandishiwa vitu namna hii jamani au nayo watasingizia...
Wakumbusheni DAWASA kuwa Kimara Temboni – Makei kuna wananchi tunaoishi na tunahitaji huduma ya maji.
Ni mwezi wa pili sasa eneo hilo halijapatiwa maji, hali ambayo imekuwa kero kubwa kwa...
PUBLIC NOTICE
RESUMPTION OF FLIGHTS TO MOSCOW
4th September 2026, Dar es Salaam
Further to our notice of 3rd September 2026, Air Tanzania Company Limited (ATCL) is pleased to advise customers...
Mnakula sana hii nchi jamani yaani billion 730 kwaajili ya el nino ambayo itaathiri mikoa Michache tu haifiki hata 7 hizo fedha ni nyingi sana hata ikiwa chini ya hapo bado ni fedha nyingi sana...
PUBLIC NOTICE
TEMPORARY SUSPENSION OF FLIGHTS TO MOSCOW
3rd September 2026, Dar es Salaam
Air Tanzania Company Limited (ATCL) wishes to inform its valued customers and the general public that...
▪︎ Aagiza Wizara ya Fedha na Uchukuzi kuharakisha utekelezaji
▪︎ Aelekeza leseni za madini zisizoendelezwa kufutwa
▪︎ Asisitiza kupunguzwa kwa matumizi yasiyo ya lazima
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu...
Mfuko wa utoaji wa mikopo ya asilimia 10% katika Wilaya ya Rungwe si rafiki na unatia wasiwasi kutokana na changamoto tunazokutana nazo katika kufuatilia fedha zetu.
Tulifanya maombi ya mkopo wa...
Jana jumamosi nilikuwa nasikiliza kipindi cha Tunu Zetu radio Amani ya jimbo katoliki Arusha. Padri alikuwa na mada ya Utatu Mtakatifu ambayo aliianza na ataendelea nayo. Niliwahi kupeleka hoja...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameitisha kikao na Makampuni ya Simu ya VODACOM, AIRTEL, YAS, HALOTEL na TTCL ili kuweza kujadili uhalifu wa mitandaoni unaotumia namba za simu...
Mbunge wa Katavi, Thomas Kampala ametoa hoja bungeni leo, Septemba 4, 2026 katika wizara ya Habari sanaa michezo na utamaduni kuhusu maadili ya watoto wanaocheza shule za Academy za Mpira, bungeni...
Yani ukikaa Afrika kila kitu ni kero, halafu mtasema hawa ni watu watu wa kawaida kweli?
Shithole
Ofisi za serikali namba hazipatikani, zinazopatikana hazipokwlewi
mfano namba moja ni NIDA...
Kilinga ni Kijiji katika Kata ya Songoro, kimepakana na misitu iliyopo ukanda wa Pori la Maliasili ya Mlima Meru.
Hiyo misitu baada ya kuvunwa miti hugawanywa kwa wananchi kwa gharama nafuu ili...
Gigy anasema ana taharuki hajui kaitiwa nini, ila kaahidi akitoka atakuja kusema maana siyo muongo, pia kasema acha aende huenda anaweza kupewa cheo hata cha kusimamia wanayama
Pia soma: Gigy...
Natafakari hapa, Kwa hali ilivyo je wanasiasa kama vile Sugu au Lema wangeendelea kukomaaa kama aivyokomaa Heche Wegesa
Kuna mwanasiasa yeyote ndani ya CHADEMA anaweza kuwa na msimamo kama Heche...
mtu unatafuta godoro kwa mfano qfl au Tanfoam, Bei ya godoro original kwa mfano ukubwa wa 5*7 12" ni zaid ya laki 5, lakini Kuna fake yapo Hadi kwa laki 2.
hivi inakuaje haya feki yanauzwa watu...
Binafsi ninafahamu ili upate leseni daraja E lazima uwe umesoma course ya HGV
Sasa inakuwaje N.I.T ili usome HGV wanataka uwe na leseni class D
Naona kama ni funny inakuwaje mtu uwe leseni...
Nakumbuka miaka ya nyuma mahubiri kuhusu Mpinga Kristo, alama ya mnyama (666) na kitabu cha Ufunuo yalikuwa kawaida sana kuyasikia kuanzia makanisa ya kilokole vijijini huko hadi yale makubwa ya...
Nina malalamiko juu ya Vituo vya Mwendokasi njia ya Mbagala - Kivukoni na Mbagala - Ilala Boma, abiria huteseka kupata huduma ya washroom kwa sababu ya kusubiria mabasi muda mrefu hususan jioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.