Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa )limetoa taarifa za kuwepo moto mlima Kilimanjaro na kuwatoa hofu wananchi na wadau wa uhifadhi kwamba licha ya tukio hilo shughuli za utalii...
Mafao changamoto jamani
Ndugu nilikuwa naomba kujuwa claim approval ina chukuwa muda gani kuwa imekuwa approval paka kupata pesa zako nssf?
Maana hapa sasa nimeambiwa niondoke kwenye nyumba...
Kila mfumo unakua na watu wa milengo mitatu tofauti wapo wale wahafidhina itikadi kali,wapo mlengo wa kati na wale mlengo wa kushoto ila wote wanafanya jambo moja sasa ipo siku mtegaji atamtega...
Napenda sana tamaduni ya wahindi ya kukusanyika pamoja kila jioni kama familia ndugu na jamaa inasaidia sana kutengeneza bond na kupanga mipango ya pamoja , kama umeishi upanga utagundua kuna...
Na Mwandishi Wetu.
Dar es Salaam, Septemba 3, 2026: Kazi 294 zimefuzu kuingia hatua ya kupigiwa kura na wananchi katika msimu wa pili wa Tuzo za Samia Kalamu Awards (SKA 2026).
Kazi hizo...
NMB imekua na ujinga mwingi umeweka pesa kwenye akaunti unafanya manunuzi unataka kulipa kupitia NMB BENKI wanakunyima huduma hata kuangalia salio wanakataa yaani mabenk ya Serikali yameambukizana...
Juzi kati baada ya kusoma bandiko la mlevi min -me la kuhusu bintiye na kukosa upendo kwa mama yake, ambaye Wali kuwa separated na kumfanya min kuwa single father, so mtoto kukosa motherly...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ametoa wito kwa Makundi mbalimbali kufika bila kukosa katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Jijini Dar es Salaam, kesho Septemba 4, 2026...
Mwanamke mmoja aliulizwa swali na muandishi wa habari mwanamke kama ifuatavyo ifuatavyo:
Muandishi: Unafikiri siku hizi ni nani mwenye tatizo zaidi linapokuja suala la uchumba na...
Nijuavyo kijana anaweza kuwa wa kike au wa kiume. Hivyo, ni marufuku kusema, "kijana na binti...", kutaka kulazimisha binti asiwe miongoni mwa vijana!
Mara utasikia, "kijana ambaka binti..."...
Wanabodi,
Katika kumbukumbu zangu, jana ndio kwa mara ya kwanza nimeshuhudia Press Conference ya Idara ya Usalama wa Taifa (UWT-TISS) katika historia ya Tanzania.
Hii ina maana moja tuu, kuna...
Ualimu/kuajiriwa halmashauri.
Wazee wa tgs brother hapa usipokuwa mwizi, usipofikiria nje ya box, usipokuwa na determination kali nafasi ya kutoboa itakuwa ni ndogo, kwasababu maisha yatakuwa...
Kwa kweli hali ya baadhi ya barabara za Mbeya inakera. Mashimo yamekuwa mengi kiasi kwamba kuendesha gari au pikipiki katika baadhi ya maeneo ni kama kufanya mtihani wa kila siku.
Sasa tuwaulize...
Je viongozi wa Serikali wanajua sheria au tumeamua nchi iongozwe kwa mtizamo wa mtu mmoja mmoja?
Kumeibuka kasumba kwenye shule nyingi hapa nchini kuweka kambi za kitaaluma kwa kigezo chan "vituo...
Eti ndo jiji lilitoa Spika wa Tanzania 🤣🤣🤣
Siwezi kulala Mbeya... Usiku huu Nageuza Iringa.. Ntalala mbele kwa mbele japo hata Makambako..
CCM mumelaaniwa..
Kwanini huyu Mzanzibari Samia...
Habari,nina malalamiko kuhusu ndugu zetu wa NSSF mkoa wa mtwara hasa wilaya ya masasi kuna watumishi walikuwa wanafanya kazi kituo cha afya REHEMA newala na walikuwa wanakatwa pesa zao lakini...
Kwenye betting tunasema cash out
Ukiwa unatazama game inavyoenda unaweza kuona uelekeo na kutoa mzingo
Mnyukano wa hoja unaendelea
Namkumbuka
1. Walianza mashahidi wa Jamhuri
2. Ushahidi muhimu...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amesema wasanii na watu maarufu waliotikia wito wa kwenda kwenye kikao nae wamesamehewa makosa mbalimbali waliyokuwa nayo huku Jeniffer Jovin na...
Nina hoja kuhusu kampuni zinazotoa mikopo kuhusu riba kubwa sana, ambapo pia makato hufanyika kabla ya mkopo kutolewa. Hivyo, hata malengo ya mkopo hayafikiwi; kwa mfano, mtu akikopa Sh 100,000...
Wasusi mbalimbali nchini wameipongeza Kampuni ya Darling Hair kwa kuwawezesha kiuchumi na kuwakwamua kutoka kwenye umaskini kupitia programu yake maalumu inayofahamika kama Loyalty.
Pongezi hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.