Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mwenyekiti wa kampuni za Said Salim Bakhresa (SSB), Said Salim Bakhresa amepewa Tuzo ya Mlipa Kodi Mwenye Hadhi ya Juu katika Maadhimisho ya Miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bakhresa...
13 Reactions
97 Replies
2K Views
Niko Mbeya nashangaa shangaa Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/= Kitimoto kilo ni 8000/= Mchele kilo ni 2000/= Mafuta ya kupikia lita 5 ni 23,000/= Maharage kilo ni...
24 Reactions
90 Replies
10K Views
Wadau wa utalii nchini Tanzania wamepinga tena mpango wa kuweka gari la kamba (cable car) kwenye Mlima Kilimanjaro. Wanaonya kuwa mradi huo utaharibu ajira, utapunguza mapato ya serikali, na...
1 Reactions
0 Replies
35 Views
Yeah maisha magumu Kila kona gharama zimekuwa ngumu All in all, isikunyime nafasi ya kujinafasi. Utaibukia beach? Movies? Plaza? Pub? Club? Home na familia? ENJOY YOUR WEEKEND.
4 Reactions
3 Replies
31 Views
Mzee wa Miaka 84 afungua kesi ya talaka baada ya kuigiza Kiziwi na Bubu kwa Miaka 62 ili asimsikilize mkewe. mzee Barry Dawson mwenye umri wa miaka 84 kutoka Waterbury Connecticut, anaripotiwa...
2 Reactions
1 Replies
52 Views
Kwa msafiri anayepanda daladala kutoka Uyole, Nanenane na maeneo mengine ya ukanda huo kuelekea Stendi Kuu ya Mabasi katika eneo la Uhindini, safari ambayo ilipaswa kuwa ya moja kwa moja imegeuka...
0 Reactions
1 Replies
12 Views
Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsi, wazee na watoto Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewauliza Watanzania kuhusu maudhui yanayofanywa live na...
2 Reactions
11 Replies
235 Views
Hongera mawakili na wanasheria mbalimbali nchini, kwa weledi, umahiri na umakini katika kusikilizana kupeana fursa za kujieleza kisheria, kutafakari na hatimae kufikia hitimisho la mashauri...
0 Reactions
0 Replies
20 Views
Sijui ilipita kwenye mikono ya watu wangapi na ilifanya biashara gani lakini iko kwenye Quality ile ile.
4 Reactions
3 Replies
86 Views
Wakuu wa DSM niungeni Mkono nipeni oda zenu jamani tuishi.nauza mafuta ya alizeti,ni mazuri sana Lita ni 7500 tu
2 Reactions
10 Replies
74 Views
Tafadhali husika na kichwa cha uzi huu. NSSF Wamekuja na mbinu mpya zifuatazo ili kuhakikisha wanufaika hawapati hela zao: Hawajatangaza mahali popote kwamba fao la Kujitoa limerejeshwa licha ya...
16 Reactions
71 Replies
1K Views
Nyie dada zetu mmelogwa? Ina maana nyie hamna akili za kuweza kutumia au kutunza pesa zenu wenyewe hadi mumkabidhi mwenzenu Mariam awawekee? Inashangaza sana. Kwa msiofahamu ni kuwa kwa sasa...
0 Reactions
2 Replies
75 Views
Wanabodi: Niwaletee mkasa huu wa kipekee unahusiana na pilika pilika za kujikinga na COVID-19 umemtokea jamaa yangu Jumapili ya tarehe 19/04/2020 akiwa Kanisani kwake Muhimu: Uzi huu unawafaa...
15 Reactions
3K Replies
168K Views
Kwakweli LATRA ilikosea sana kuanza kutoa vibali kwa baadhi ya makampuni ya mabasi kuwa na stendi zao binafsi nje ya stendi ya Magufuli, hapo ndipo mgogoro ulipo anzia na matokeo yake stendi...
10 Reactions
225 Replies
2K Views
Tukiachana na masuala ya dini kwanza, kwasababu sio dini ndo zimeleta uwepo wa Mungu Ukizingatia dini kuu zilizopo mfano Uislam umeanza baada ya uwepo wa Mohhamad S.A.W, mtume huyo alidai...
0 Reactions
0 Replies
15 Views
Mwaka 2001, Justin Nyari hakukubaliana na habari iliyochapishwa katika gazeti la Financial Times. Habari hiyo ilimhusisha na tuhuma mbalimbali, ikiwemo kuwa kiongozi wa kundi lisilo na sheria...
8 Reactions
15 Replies
484 Views
Katika dunia ya sasa vijana wengi wanatafuta njia mbalimbali za kujenga maisha yao, baadhi wanaamini kuwa elimu ya chuo kikuu au vyuo vya kati ndiyo msingi muhimu wa kupata ajira na maisha bora...
3 Reactions
4 Replies
47 Views
Mada maalum ya uzao wa Afrika ambao haufahamiki sehemu kubwa ya dunia.. Ni picha na habari kwa niaba ya FB na mitandao mingine SIRI ILIYOFICHUKA KUHUSU MILLI VANILLI. MILLI VANILLI ni kikundi...
18 Reactions
2K Replies
72K Views
Kokote duniani wanaharaki wamekuwa chanzo kutetea haki za watu na tuwape maua wanawatetea wanyonge lakini wakati mwingine imeleta madhara makubwa sana. Wanaharakati duniani wameleta mabadiriko...
0 Reactions
6 Replies
46 Views
Back
Top Bottom