Huu uzi ni kwa ajili ya matendo ya vituko vya machawa.
Nimeona ni muhimu kukumbushana vituko vya machawa hasa kwa wakati huu ambapo UCHAWA umekuwa ajira rasmi na kitu cha kujivunia na wapo...
Naona kama shughuli sasa imekuwa rasmi. Maduka ya wamachinga yameanza sehemu pembezoni mwa interchange ya Kijazi na Morogoro road.
Je watendaji hili wanaliona au wanasubiria mpaka kipele kiwe...
Wa kwanza ni wazazi wako,
Yes wazazi wako,wazazi wetu kwa namna moja au nyingine kwenye makuzi yetu kuna mambo ambayo huenda sio kwa ubaya au bila wao wenyewe kujua,tunajikuta wametukwaza sana na...
Nabii Tito tangu akamatwe siku ya Jumamosi hadi leo hajafikishwa kwenye mahakama yoyote.
Tunaomba Polisi wamwachie mara moja au wampandishe mahakamani.
Dunia ni ngumu sana na ugumu unakuja ni kwa vile tu mwanadamu ameumbwa na tamaa na kamwe tamaa haiepukiki
Ukitaka kuyafurahia maisha fanya kila jambo kwa kiasi kidogo
Danganya lakini...
Habari JF ,Ligi kuu Uingereza na JamiiForums fantasy premier league zimerudi , jiunge sasa kupitia Code wemf7z
au autojoin kupitia
https://fantasy.premierleague.com/leagues/auto-join/wemf7z...
🔊 UNABII WA MWEZI WA 8
Mwezi wa 8 naona ukiwa mwezi wa utulivu, lakini ndani ya utulivu huo kutajitokeza mambo makubwa. Naona mbingu zikitulia ili kuleta majibu kwa wengi wanaomtafuta Mungu kwa...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, amethibitisha kifo cha mwanafunzi Peter Maira, aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha sita katika shule ya sekondari Makongoro, iliyopo katika Halmashauri...
Kiwango ambacho watu hufa ghafla kinazidi kutisha. Wengi wetu tunajua kuwa tunapitia kipindi cha kufadhaika, kuchanganyikiwa, hofu, mfadhaiko, msongo wa Mawazo, nk.
Sababu hizi zote huongeza...
YA NABII TITO, MAHAKAMA YA RUFAA, KESI YA DIBAGULA, NA UHURU WA KUABUDU.
Waraka wa BASHIR YAKUB.
+255784482959.
Mchana wa tarehe 16, March, 2000 Chamwino Mkoani Dodoma jeshi la polisi lilimtia...
Kwa kipindi kirefu sana, wananchi wa nchi pendwa ya kizalendo ya Tanzania walikuwa na malalamiko ambayo kwa sasa ni dhahiri inaonekana yamepata ufumbuzi kufuatia ukimya uliopo.
Yale malalamiko ya...
Mwenyekiti wa kampuni za Said Salim Bakhresa (SSB), Said Salim Bakhresa amepewa Tuzo ya Mlipa Kodi Mwenye Hadhi ya Juu katika Maadhimisho ya Miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Bakhresa...
Niko Mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafuta ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni...
Wadau wa utalii nchini Tanzania wamepinga tena mpango wa kuweka gari la kamba (cable car) kwenye Mlima Kilimanjaro.
Wanaonya kuwa mradi huo utaharibu ajira, utapunguza mapato ya serikali, na...
Yeah maisha magumu
Kila kona gharama zimekuwa ngumu
All in all, isikunyime nafasi ya kujinafasi.
Utaibukia beach? Movies? Plaza? Pub? Club? Home na familia?
ENJOY YOUR WEEKEND.
Mzee wa Miaka 84 afungua kesi ya talaka baada ya kuigiza Kiziwi na Bubu kwa Miaka 62 ili asimsikilize mkewe. mzee Barry Dawson mwenye umri wa miaka 84 kutoka Waterbury Connecticut, anaripotiwa...
Kwa msafiri anayepanda daladala kutoka Uyole, Nanenane na maeneo mengine ya ukanda huo kuelekea Stendi Kuu ya Mabasi katika eneo la Uhindini, safari ambayo ilipaswa kuwa ya moja kwa moja imegeuka...
Hongera mawakili na wanasheria mbalimbali nchini, kwa weledi, umahiri na umakini katika kusikilizana kupeana fursa za kujieleza kisheria, kutafakari na hatimae kufikia hitimisho la mashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.