Papillon 1906
Senior Member
- Jun 19, 2025
- 191
- 663
Kama huna chakula usilete njaa zaidi duniani
Huo ndio ukweli mchungu, ila kuzaa binadamu wengi huwa hawatumii akili au logic bali ni jambo la hisia zaidi.Kama huna chakula usilete njaa zaidi duniani
🤣🤣🤣🤣😂😆😆
Sisi tutazaa tuu. Hamtaki vibarua katika viwanda vyenu
Kuna mdau kauliza hamtaki vibarua kwenye viwanda vyenu?Huo ndio ukweli mchungu, ila kuzaa binadamu wengi huwa hawatumii akili au logic, ni jambo la hisia zaidi.
Manamba wa viwandani muda sio mrefu nao nafasi zao zitachukuliwa na mashine, maroboti na AI.😂😆😆
Sisi tutazaa tuu. Hamtaki vibarua katika viwanda vyenu
Maskini wasipozaa watoto tutapata wapi nguvu kazi. Maskini waoe wake wengi, wazae watoto wengi wasioweza kuwaendeleza, ili tupate cheap labourKama huna chakula usilete njaa zaidi duniani
Nafasi za vibarua manamba zinazidi kupungua kwa kasi, mashine, roboti na AI zinazidi kuchukua nafasi.Kuna mdau kauliza hamtaki vibarua kwenye viwanda vyenu?
Unatushauri nini tajiri sisi makapuku promaxNafasi za vibarua manamba zinazidi kupungua kwa kasi, mashine, roboti na AI zinazidi kuchukua nafasi.
Mzae mtoto mmoja tu wa kuteseka ila kuridhisha ego zenu.Unatushauri nini tajiri sisi makapuku promax
Manamba wa viwandani muda sio mrefu nao nafasi zao zitachukuliwa na mashine, maroboti na AI.
Sehem nilipo watu wanashindana kuzaa
Mwingine kaniambia kwao wapo kumi nayeye anataka atengeneze historia hiyo 😳
Kuzaa sio kazi, kuhudumia na kulea watoto ndio kazi.Wengine hatuna kazi za kufanya.
Kama mkiingia mpaka kwenye kuzaa huko tutafanya nini sasa dunia hii
Kuzaa sio kazi, kulea ndio kazi.