de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,811
- 23,652
Baada ya kuishi Dar.. Nimegundua essentially watu wanao run hili jiji ni makabila mengine kabisa...
Wazawa ni mazombie..
Kazi Kukesha vibarazani, kupiga zogo..
Hakuna jamii nzembe kama waishio ukanda wa bahari.. Sijui nini tu... Kazi kupakia chakula junk tu.. Mijitu imefutuka kama viboko.
Watu wa Dar, hawana staha kabisa, watoto hawasalimii wakubwa, utasalimiwa kama huyo dogo umezoea kumpa hela tu..
Kutukana matusi ni kama kiunganishi kama sentensi zao..
Alafu cha kuongeza, watu wa Dar ni wa chafu, mtu anafanya biashara ukiangalia mazingira kuna uchafu... Mtu anauza matunda, nzi wamezunguka... Na hajistukii.. Inshort mnasemaga watu wa mikoani washamba ila majitu ya Dar.. Ovyo kabisa.
Kazi zao, ni udalali, uwinga, uchawa na kutaka miteremko tu...
Ndo maana sisi ambao tunaishi huku tunayatawala tu.
Wazawa ni mazombie..
Kazi Kukesha vibarazani, kupiga zogo..
Hakuna jamii nzembe kama waishio ukanda wa bahari.. Sijui nini tu... Kazi kupakia chakula junk tu.. Mijitu imefutuka kama viboko.
Watu wa Dar, hawana staha kabisa, watoto hawasalimii wakubwa, utasalimiwa kama huyo dogo umezoea kumpa hela tu..
Kutukana matusi ni kama kiunganishi kama sentensi zao..
Alafu cha kuongeza, watu wa Dar ni wa chafu, mtu anafanya biashara ukiangalia mazingira kuna uchafu... Mtu anauza matunda, nzi wamezunguka... Na hajistukii.. Inshort mnasemaga watu wa mikoani washamba ila majitu ya Dar.. Ovyo kabisa.
Kazi zao, ni udalali, uwinga, uchawa na kutaka miteremko tu...
Ndo maana sisi ambao tunaishi huku tunayatawala tu.