Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Napatikana Wilaya ya Ruangwa mkoa wa Lindi ,nilifunga ndoa mwezi wa pili mwaka huu, hapa hapa wilayani, na cheti cha ndoa tulipata hapa hapa, cha kushangaxa ni kwamba ukitaka kujisajili na mifumo...
1 Reactions
3 Replies
55 Views
Habari za Sabato! Wanawake lazima mjue. Msifikiri jinsi mnavyowachukulia watoto ndivyo wanaume wanavyowachukulia. Sio kweli. Kwa wanaume wengi Watoto sio big deal kama mnavyodhani. Ni makosa...
21 Reactions
114 Replies
1K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, na Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa ameweka wazi sababu za serikali ya Tanzania kupitia wizara kuendelea kujenga viwanja vya...
0 Reactions
1 Replies
16 Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Dkt. Rhimo Nyansaho amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi wa vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) walioshiriki katika ujenzi wa...
0 Reactions
0 Replies
36 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili mkoani Arusha leo Jumatano, Septemba 16, 2026, ambapo amepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Arusha na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla, pamoja...
1 Reactions
3 Replies
25 Views
●Awasihi Watanzania kuchukua Vitambulisho vyao vya Uraia. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) itaanza kuchukua hatua za kuwasajili...
1 Reactions
0 Replies
38 Views
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae...
30 Reactions
9K Replies
447K Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeendesha oparesheni kubwa katika maeneo mbali mbali ya mkoa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake ya kikatiba ya kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
0 Reactions
0 Replies
23 Views
Utabiri wa sasa unaonyesha kuwepo kwa "Super El Niño" inayokuwa kwa kasi kubwa na inayoweza kuweka historia. Hali hii inatokea katika Bahari ya Pasifiki na inatarajiwa kufikia kilele mwishoni mwa...
27 Reactions
197 Replies
3K Views
Kumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar. Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha...
7 Reactions
8K Replies
346K Views
Tumpe maua yake angali hai.. Tusisubiri afe ndio tuyaseme! Jaji Joseph Sinde Warioba ni mmoja wa viongozi wachache wakongwe nchini Tanzania ambaye maisha yake yote yamekuwa kielelezo cha...
5 Reactions
20 Replies
215 Views
JE, NDEGE INARUDI NYUMA? Ndege nyingi za sasa zina mfumo wa kurudi nyuma #reverse' ambao mara nyingi hutumika kupunguza kasi wakati ikitua (#Braking). Kwa baadhi ya ndege za 'Mapangaboi'...
48 Reactions
1K Replies
36K Views
kijana kutoka nchini Nigeria, Chukwudi Godday Eze, amekuwa gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufanikiwa kutengeneza gari lenye muonekano wa kipekee unaofanana na gari la kifahari...
3 Reactions
7 Replies
163 Views
Nimeishi South kwa takriban miaka mitano hivi kuanzia 1996 ni mara baada ya Mandela kuachia hatamu na kumkabidhi Thabo Mbeki kijiti.... Kinachotokea sasa huko kina mizizi na ubaguzi wa rangi...
120 Reactions
281 Replies
29K Views
Wataalamu wa Ardhi kutoka Ofisi ya Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Kagera pamoja na Halmashauri zake, wanaendelea na mafunzo ya kujengewa uwezo wa mfumo wa E-Ardhi ili kuongeza ufanisi katika...
0 Reactions
0 Replies
10 Views
Ewe mod uliye kazini toka jana usiku ni nini hasa mimi de Gunner nimekukosea? Una futa Kila Nyuzi niianzishayo, je una uhasama na mimi? Kwa nini usije inbox yangu na ufunguke, au labda kama...
6 Reactions
42 Replies
267 Views
RUVUMA Wananchi nchini sasa wanaweza kupata na kukamilisha baadhi ya huduma za ardhi kwa urahisi zaidi kupitia mfumo wa kidijiti wa e-Ardhi, ikiwemo kusaini hati zao bila kulazimika kusafiri hadi...
0 Reactions
1 Replies
24 Views
HUDUMA ZA ARDHI KIGOMA KUNUFAIKA NA TEKNOLOJIA YA MFUMO WA e-ARDHI KIGOMA Hatua ya Serikali ya kuendelea kuboresha utoaji huduma za ardhi kwa njia za kidijitali imezidi kuimarika baada ya mfumo...
1 Reactions
1 Replies
32 Views
LINDI Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inaendela na mafunzo ya siku nane ya mfumo mpya wa kidijiti wa e-Ardhi mkoani Lindi huku mfumo huo ukielezwa kusaidia watendaji wa sekta ya...
0 Reactions
1 Replies
11 Views
Mgonile, Tukiweka ubishi pembeni kuna matukio ukiona tu papo hapo akili yako inakwambia jambo hili haliwezekani kwa kanuni za kawaida isipokua kwa nguvu tusiyoiona ila tunaweza kwa hakika...
1 Reactions
72 Replies
594 Views
Back
Top Bottom