Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inaendelea na zoezi la kuboresha usafi wa mazingira katika maeneo ya katikati ya Jiji la Dar es Salaam, hususani eneo la Ilala na...
0 Reactions
0 Replies
8 Views
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imekutana na wananchi wa Mtaa wa Tabata, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, na kutoa ufafanuzi kuhusu hatua zinazochukuliwa...
0 Reactions
1 Replies
8 Views
Mgogoro kati ya Tanzania Assemblies of God (TAG) na Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) ulianza mwaka 1991 kufuatia mfarakano wa kiuongozi na kikatiba kati ya viongozi wakuu, ambapo...
0 Reactions
0 Replies
33 Views
Kuna Mwanafunzi wa Kidato cha Sita Shule ya Sekondari Makongoro iliyopo mkoani Mara - Bunda Vijijini kachapwa viboko na Walimu takribani 30 mpaka amefariki Dunia, tukio limetokea SaaSaba Mchana...
2 Reactions
10 Replies
155 Views
Je, wajua kuwa Capybara ndio mnyama rafiki kwa wanyama wengi ikiwemo crocodile (mamba), chui na simba?!.. Huyu ni rafiki mkubwa wa Anaconda na Nyegere. Pia soma... - Naomba mnieleweshe maana ya...
20 Reactions
266 Replies
134K Views
Kiwango ambacho watu hufa ghafla kinazidi kutisha. Wengi wetu tunajua kuwa tunapitia kipindi cha kufadhaika, kuchanganyikiwa, hofu, mfadhaiko, msongo wa Mawazo, nk. Sababu hizi zote huongeza...
12 Reactions
9 Replies
116 Views
Baadhi ya wafanya biashara umeona huduma yake insta hajaweka namba kuwa clickable ili iende moja kwa moja whatsapp unacopy pembeni kisha unatuma sms hajibu chochote. unahamia whatsapp hajibu...
0 Reactions
0 Replies
17 Views
Mimi ni Mkazi wa Pugu,Ninapokuwa njiani kuelekea kazini/Mjini nilikuwa nikishuhudia kuvunjwa kwa sehemu ya uzio wa shule na ujenzi wa frame za maduka.... Hiyo shule ni ya elimu ya Msingi Pugu...
5 Reactions
12 Replies
124 Views
Kuna changamoto ipo Kituo cha Afya Pugu Kajiungeni Health Centre wagonjwa tunatoka nyumbani na box la delivery pack lakini bado ukiruhusiwa unaenda kulipia risiti imeandikwa delivery pack, so...
1 Reactions
12 Replies
83 Views
Mahakama ya Mwanzo Mbeya mjini imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja (miezi 12) jela Ramadhan Ludabuka (19) DJ na Mkazi wa Patamela Wilayani Chunya kwa kosa la kusambaza maudhui yasiyofaa katika...
1 Reactions
5 Replies
126 Views
Iko hv Jana Niko na fundi wangu ambe ni mtaalmu wa plaster na tiles bas nikamuuliza vip yule kijana ako yuk wapi sas hv anasoma wapi alikuja kupata chuo gani? ndio akanijibu' yule kijana ni...
4 Reactions
9 Replies
150 Views
Pole sana ndg yetu kwa hilo janga lilikupata la ugonjwa wa kansa, magonjwa ni ya kwetu sote sisi binadamu na maisha ni mzunguko. Please usikate tamaa kiasi hicho maisha huwa yanakupa second...
32 Reactions
68 Replies
1K Views
Imeelezwa kuwa namna ya kufikisha na kufanikisha Utekelezaji wa Dira 2050 ni kuwepo na uundaji wa Kamati za Usimamizi, Ufuatiliaji na Utekelezaji kwenye ngazi zote pamoja na mkakati mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Kuwa na familia ni jambo la maana na la muhimu sana. Kuona watoto wako /wewe katika version nyingine wakikua na kufurahia maisha aise inaleta faraja sana...huku ukiwahudimia vyema kwanzia...
15 Reactions
35 Replies
332 Views
Ukimuuliza Atheist " Hicho kitanda ulicho lalia kimetengenezwa au kimetokea tu chenyewe? " . Atakujibu kimetengenezwa na mtu.". Haya sasa muulize " Huyo mtu alie tengeneza hicho kitanda unamjua au...
41 Reactions
588 Replies
4K Views
Ndugu zangu, Leo tuseme wazi. Kuna watu wengine sio binadamu wa kawaida. Ni Kaini. Kaini hakumpiga Abeli kwa sababu Abeli alikuwa mbaya. Alimpiga kwa sababu sadaka yake ilikubaliwa. Mafanikio...
3 Reactions
3 Replies
38 Views
Halmashauri ya Jiji la Dodoma inawaibia abiria waliokata tiketi kupitia mfumo kwa kuwalazimisha kulipia ushuru wa kuingia stendi na kupanda mabasi. Hili ni jambo lisilo sahihi ambalo sijawahi...
2 Reactions
3 Replies
47 Views
Maswali ambayo hayajaulizwa hadi sass 1. Je ramani ya mipango miji ya jiji la Dar inasemaje? 2. Je eneo la shekilango ni sahihi kuwa stand za mabus? Je matumizi yake ya asili ni yapi? 3. Je ni...
8 Reactions
31 Replies
329 Views
Kama serikali inataka inufaike basi hivyo vituo ni vya serikali, kama wananchi wanatakiwa wanufaike basi hivyo vituo ni vya wananchi Napata shida sana kuelewa dhana ya biashara huria. Kama...
6 Reactions
17 Replies
143 Views
Mara nyingi tunasikia taarifa kuhusu ukuaji wa uchumi, ongezeko la uwekezaji na maendeleo ya miundombinu nchini. Hata hivyo, baadhi ya wananchi bado wanaendelea kulalamikia gharama za maisha, bei...
0 Reactions
1 Replies
12 Views
Back
Top Bottom