Tungekuwa na Taasisi imara za kupambana na Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha, basi Diamond na Mke wake wangekuwa washahojiwa. Japo waelezee waloleta hela wana uhusiano gani.
Wasanii wa bongo...
Nimeshawahi kutembelea kwenye Nchi kadhaa hasa za Ki Africa, mnakata ticket online ama kwenye office za kukatia ticket ambapo Huwa zinakata Ticket ya Kampuni yoyote, ama kwenye office za Kampuni...
Kuna mgahawa ulikuwa classic sana.
Ile sehemu wanafanya renovation na pamefungwa...
Aisee nimejikuta napata hasira, maana msosi ulikuwa classic sana.
Sasa nianze tena kutafuta mahala pengine...
Wazee wa viwanja, kuna chimbo jipya limefunguka Mbezi Kwa Msuguri linaitwa The Embassy, na kwa kweli hapa nimeona ni sehemu ya kwenda ku-relax bila makelele ya mjini.
Hapa pamekaa kiustaarabu...
Raisi Trump amesema anataka kukutana na Ayatollah Mojtaba ili wayamalize😂..
Aise dunia inaenda kasi, kuanzia tumewavuruga, mpaka kuomba kukutana na Mjuba mwenyewe, tutaona mengi sana.
Tulimcheka...
Mfumo wa maisha yetu kama watanzania unafikirisha sana ,sasa Huwa najiuliza .ni nani aliturithisha uongo, hapa nitatoa mifano kadhaa
1.mtu akikuomba chenji ukamwambia ninayo ila inanitosha...
Wewe umetoa mchango gani kumtoa kijana humu kwenye sifuri na kwenda kwenye ndoto zake?
Nina vijana watano humu wanajijua wamefanikiwa kupitia mimi, kama wapo online watakuja.
Note: achana na...
Just recently... Jana tu tena nimeweza ku observe hiki kitu mara mbili, na kikazidi kumake sense kwangu..
The more spiritual you are people become So drawn to your presence...
Actually, ni...
Ukimuuliza Atheist " Hicho kitanda ulicho lalia kimetengenezwa au kimetokea tu chenyewe? " . Atakujibu kimetengenezwa na mtu.". Haya sasa muulize " Huyo mtu alie tengeneza hicho kitanda unamjua au...
Huu uzi ni kwa ajili ya matendo ya vituko vya machawa.
Nimeona ni muhimu kukumbushana vituko vya machawa hasa kwa wakati huu ambapo UCHAWA umekuwa ajira rasmi na kitu cha kujivunia na wapo...
Baada ya 17/8/2026, tamko la Mkuu wa Mkoa lilielekeza magari kurudi Mbezi Luis Stand. Kampuni zote zimetii, isipokuwa “kampuni pendwa 3” ambazo hazijatajwa majina, zimeruhusiwa kuendelea kuanzia...
Nabii Tito tangu akamatwe siku ya Jumamosi hadi leo hajafikishwa kwenye mahakama yoyote.
Tunaomba Polisi wamwachie mara moja au wampandishe mahakamani.
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeeleza kwamba tokea Tundu Antiphas Lissu alipokamatwa kumekuwepo na vitendo ambavyo vimeambatana na mazingira ya ukiukwaji wa haki...
Habari zenu wana JF wenzangu.
Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.
Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1)...
Wakuu HABARI!
Hii tabia ya police au mahakama kuwaachia hawa wahalifu ambao hadi kweny jamii wanafahamika ni mbaya sana, kisa tu ushaidi au mashaidi hawajitokezi wakati wa kesi,unakuta kibaka...
Wakati joto la uchaguzi haramu 2025 limepamba moto, member mwenzetu johnthebaptist alianza kuonesha kupingana na upande aliokuwa anautetea (watawala) kupitia baadhi ya maandiko yake.
Leo...
Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Malori Nchini Tanzania (TATOA), Elius Lukumay, amesema wamiliki wa malori wako tayari kuyapaki magari yao endapo mamlaka zitaendelea kuwachukulia hatua...
TAARIFA YA MTU ANAYETAFUTWA
JINA: Peter Richard Mushi (Tosh)
UMRI: Miaka 35
KAZI: Fundi Simu
ENEO LA KAZI: Kariakoo, Mtaa wa Agrey, karibu na Akiba Bank.
TAARIFA ZA KUPOTEA:
Peter Richard Mushi...
Mjini shule. Ndivyo unavyoweza kusema. Ukija mjini njoo na akili usije na jembe. Huku mjini ni mahali pa kutumia akili zaidi kuliko nguvu.
Kuna aina mpya ya utapeli imeibuka hapa mjini kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.