Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Hili tamasha la bongo fleva 30 dodoma linarushwa kwenye website gani?
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Wakati joto la uchaguzi haramu 2025 limepamba moto, member mwenzetu johnthebaptist alianza kuonesha kupingana na upande aliokuwa anautetea (watawala) kupitia baadhi ya maandiko yake. Leo...
14 Reactions
26 Replies
455 Views
Tanzania bado tuna amini makocha wa kizungu ndo wenye material kichwani ya kuwafundisha watu wetu katika michezo mbali mbali hasa mpira wa miguu.Mpaka Leo wazawa hawaaminiki kwenye ufundishaji wao...
2 Reactions
6 Replies
36 Views
Wasukuma tunasema; MWAMPA(mwamba) huyu hapa.!!! Maashiiine!!!😅 Kwa vile mwanangu anarusha sana mateke leo huko tumboni hence moyo kunienda mbio nitaandika kwa kifupi sana ujumbe huu ambao roho...
24 Reactions
176 Replies
2K Views
A giant looks in the mirror and sees nothing ~Donda West In my time off, JF nilijikuta naingia katika kujitathmini kwa kina ili nijue where why y'all hating on me the goat 🐐? Ila nikaona it's...
16 Reactions
271 Replies
2K Views
Walimu wanamchango mkubwa sana kwa taifa. Imagine mwalimu anafundisha madarasa mangapi ? Let say kafanya kazi miaka 15, watu kibao wamepita katika mikono yake. Fikiria mwanajeshi ana mambo mengi...
2 Reactions
12 Replies
63 Views
“Kingdom True Anointing Standards: A RENAISSANCE” Ni makala ndefu, kwa sababu hata watu wamedanganywa kwa kirefu! Uongo mkubwa unahitaji maelezo Makubwa! Mwenye moyo na nguvu na asome! AMANI NA...
1 Reactions
9 Replies
291 Views
Picha inajieleza Taikuni la kuwastua wanaotapeliwa kiimani hasa wakristo Kubwa la Maadui
1 Reactions
3 Replies
82 Views
Mwalimu Christopher Mwakasege ni mtumishi wa Mungu wa muda mrefu alijitolea kufundisha neno la Mungu kwa mapana zaidi. Amejizoelea umaarufu kwa kufundisha neno la Mungu bila kuingiza siasa...
29 Reactions
102 Replies
1K Views
Frustration, Frustration, Frustration. Asilimia 60% ya walimu wamekata Tamaa, tena Frastruation zao sio kwasababu ya mshahara, hapana Frustration kutoka kwa Mkuu wa shule, mwenyekiti wa mtaa...
2 Reactions
17 Replies
171 Views
Kwa mujibu wa Kanuni ya 18 (1) na (2) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, Tangazo la Serikali Na. 137 la Tarehe 22 Mei, 2026 linapa Mamlaka Baraza la Sanaa la Taifa kurasimisha Wasanii na Wadau...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Venomous snake found a sleeping porcupine. It wrapped itself around it. It felt warm, safe, perfect. Then, the porcupine woke up. Its sharp quills rose instantly. The snake felt pain. But instead...
1 Reactions
2 Replies
14 Views
Mwalimu wa kujitolea katika Shule ya Sekondari Bibi Titi Mohamed, Jafar Abdul, ameweka rekodi ya kipekee baada ya kuiwezesha Wilaya ya Rufiji kushika nafasi ya tatu kitaifa kwenye somo la...
5 Reactions
15 Replies
198 Views
Wengi wao wapo kwenye mahusiano tata au muonekano tata au jinsia tata (mwanaume haitaji kutambulisha jinsia yake ataonekana tu alivyo)
1 Reactions
4 Replies
51 Views
TAG wameonesha ukomavu wa kiroho kwa kuamua kuachilia na kusamehe mali zake ambazo mahakama ilikuwa imetoa uamuzi zirejeshwe TAG. Ifahamike kuwa EAGT pia ina mgogoro na makanisa mengi tu...
2 Reactions
7 Replies
59 Views
Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe. Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa. Unammtoa mwanamke mzuri...
21 Reactions
85 Replies
1K Views
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa Tanzania baada ya Dar. Ziwa Victoria (Nyanza) ni sehemu ya jiji hili, na ukiwa maeneo mengi ya jiji hili, unaweza kuliona ziwa kwa macho. Cha ajabu, licha ya ziwa...
0 Reactions
0 Replies
16 Views
Picha inajieleza Taikuni la kuwastua wanaotapeliwa kiimani hasa wakristo Kubwa la Maadui
0 Reactions
2 Replies
42 Views
Waalimu sita wa shule ya sekondari Makongoro iliyopo wilaya ya Bunda mkoani Mara wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha Petro Chisumo (23) aliyekuwa...
2 Reactions
54 Replies
730 Views
WAFANYAUSAFI wawili wa treni ya Reli ya Kisasa (SGR) wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa simu ya thamani ya Sh 450,000. - Washitakiwa...
7 Reactions
28 Replies
367 Views
Back
Top Bottom