Copper Mines For Sale
📍Location - Kitati, Mpwapwa, Dodoma
✅Laboratory Result is Coming from 1.2% To 3.7% and mined around 2000 Tons open Pit.
✅Vein Report is 18.5%
✅Full Documents with CSR...
Wengi wao hawana akili hata kidogo, wanafikiri matako yao ndio kila kitu kumbe kuna cha zaidi kushinda makalio
Na dzain ya wengi wenye makalio ni kama wanajitegesha hivi kama wapo kazini kwa...
Kuna wakati maisha yanakupeleka sehemu mpaka unatamani usingezaliwa kwenye hiyo familia uliyopo.
Au unajikuta unajuta kuishi, imefikia hatua mpaka mtu unatamani kujiua tu ili uepukane na madhila...
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unafikia hatua ya kupiga simu na kutuma meseji za kuombaomba michango ya sherehe ya harusi yako?
Unajikuta ghafula umeungwa kwenye group la harusi, humo bwana harusi...
Had God a plan for the universe before he created it? Did he see in his plan the fate of mankind that they will rebel against his laws, and in his planning he constructed a place/state of...
Hapa ni Dodoma eneo la Miganga East, Kata ya Mkonze, hivi Serikali imetusahau sana! Hakuna barabara hata maji nyumba zilizo nyingi hazina kabisa! Imefika sehem wananchi tunaanza tunaambiwa Bomba...
Kuna mwanasheria mmoja aliwahi kuniambia kuwa uwapo Mahakamani hasa kwa Kesi zenye Hisia kubwa kama Mtuhumiwa yakupasa uwe makini mno na 'Body Language' yako kwani hii nayo ina nafasi kubwa mno...
Wanasheria naomba elimu kidogo
Lissu amewataja ndugu Samia, Philip Mpango, Cassim Majaliwa na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wawe mashahidi wa kesi yake ya uhaini
Najiuliza hawa watu...
Habari Wizara ya Ardhi nina mdau wangu alinunua ardhi TAUSI Dodoma jiji yapata mwaka sasa....
Baada ya manunuzi ishu ikahamia kwenye mfumo wa e-ardhi ili kuprocess hatimiliki ya ardhi.
Kila...
Na kwa tunaojua vyema Saikolojia tunajua kuwa Wanadamu wote huwa wana Ukomo wao juu ya jambo fulani na kuna muda utafika watachoka na kukuacha peke yako uteseke huku Familia yako sasa ndiyo...
Mahakama va Hakimu Mkazi Lindi imemhukumu Alli Hamsi Mbelenje (30), mkazi wa Kijiji cha Makonde, Kata ya Mtama, Wilaya ya Lindi, kifungo cha maisha Gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kosa la...
Na ikitupendeza pale tunapokuwa free si vibaya tukiwa tunahudhuria Kesi mbalimbali ziwe ndogo au kubwa katika maeneo yetu ili angalau kuwa na ufahamu wa masuala mazima ya Kisheria.
Asanteni sana.
Huu umekuwa kama ulemavu sasa.
Kwa kazi yangu ya kukutana na Jamii moja Kwa moja nimekuwa mtu wa kajichanganye kwa watu wa rika zote, jinsia zote, levels zote, maskini, Hali ya Kati na matajiri...
Kanisa la Pentekost la Christ Embassy, chini ya uongozi wa Pastor Chris Oyakhilome, limezindua rasmi safu ya magari yanayotumia nishati ya umeme, ikiwa ni sehemu ya miradi yake ya kiteknolojia na...
Kama inavyoonekana hapa Gen Z uwezo wenu wa akili umethibitika kuwa ni mdogo na hiyo ipo wazi tunaiona hata kwenye maisha ya kila siku. Hata hivi juzi kuna mhadhiri wa chuo kikikuu cha Dar es...
Wakuu mko poa,
Kipindi cha nyuma nadhani 2016 wakati Muhongo akiwa waziri aliwahi kupiga marufuku matumizi ya mafuta ya transfoma kwa mapishi ya chips, wakati huo zilikua ni tetesi tu kua kuna...
Nimeanza kumfuatilia kwa karibu wakili huyu katika kesi hii yenye kuvuta hisia za wengi.
Nilichogundua ni kwamba yu msomi kwelikweli hana mihemuko lakini intellectual strike capability ni kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.