Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Copper Mines For Sale 📍Location - Kitati, Mpwapwa, Dodoma ✅Laboratory Result is Coming from 1.2% To 3.7% and mined around 2000 Tons open Pit. ✅Vein Report is 18.5% ✅Full Documents with CSR...
1 Reactions
1 Replies
29 Views
Wengi wao hawana akili hata kidogo, wanafikiri matako yao ndio kila kitu kumbe kuna cha zaidi kushinda makalio Na dzain ya wengi wenye makalio ni kama wanajitegesha hivi kama wapo kazini kwa...
2 Reactions
18 Replies
219 Views
Kuna wakati maisha yanakupeleka sehemu mpaka unatamani usingezaliwa kwenye hiyo familia uliyopo. Au unajikuta unajuta kuishi, imefikia hatua mpaka mtu unatamani kujiua tu ili uepukane na madhila...
40 Reactions
219 Replies
2K Views
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unafikia hatua ya kupiga simu na kutuma meseji za kuombaomba michango ya sherehe ya harusi yako? Unajikuta ghafula umeungwa kwenye group la harusi, humo bwana harusi...
30 Reactions
94 Replies
2K Views
Had God a plan for the universe before he created it? Did he see in his plan the fate of mankind that they will rebel against his laws, and in his planning he constructed a place/state of...
1 Reactions
5 Replies
35 Views
Hapa ni Dodoma eneo la Miganga East, Kata ya Mkonze, hivi Serikali imetusahau sana! Hakuna barabara hata maji nyumba zilizo nyingi hazina kabisa! Imefika sehem wananchi tunaanza tunaambiwa Bomba...
2 Reactions
4 Replies
48 Views
Kuna mwanasheria mmoja aliwahi kuniambia kuwa uwapo Mahakamani hasa kwa Kesi zenye Hisia kubwa kama Mtuhumiwa yakupasa uwe makini mno na 'Body Language' yako kwani hii nayo ina nafasi kubwa mno...
4 Reactions
10 Replies
172 Views
Wanasheria naomba elimu kidogo Lissu amewataja ndugu Samia, Philip Mpango, Cassim Majaliwa na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wawe mashahidi wa kesi yake ya uhaini Najiuliza hawa watu...
2 Reactions
8 Replies
168 Views
Habari Wizara ya Ardhi nina mdau wangu alinunua ardhi TAUSI Dodoma jiji yapata mwaka sasa.... Baada ya manunuzi ishu ikahamia kwenye mfumo wa e-ardhi ili kuprocess hatimiliki ya ardhi. Kila...
7 Reactions
1 Replies
115 Views
Na kwa tunaojua vyema Saikolojia tunajua kuwa Wanadamu wote huwa wana Ukomo wao juu ya jambo fulani na kuna muda utafika watachoka na kukuacha peke yako uteseke huku Familia yako sasa ndiyo...
2 Reactions
7 Replies
85 Views
Wanakwepa kodi ya serikali Hongera Albert Msando na Albert Chalamila .....
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Mahakama va Hakimu Mkazi Lindi imemhukumu Alli Hamsi Mbelenje (30), mkazi wa Kijiji cha Makonde, Kata ya Mtama, Wilaya ya Lindi, kifungo cha maisha Gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kosa la...
0 Reactions
1 Replies
43 Views
Na ikitupendeza pale tunapokuwa free si vibaya tukiwa tunahudhuria Kesi mbalimbali ziwe ndogo au kubwa katika maeneo yetu ili angalau kuwa na ufahamu wa masuala mazima ya Kisheria. Asanteni sana.
1 Reactions
0 Replies
27 Views
Huu umekuwa kama ulemavu sasa. Kwa kazi yangu ya kukutana na Jamii moja Kwa moja nimekuwa mtu wa kajichanganye kwa watu wa rika zote, jinsia zote, levels zote, maskini, Hali ya Kati na matajiri...
23 Reactions
110 Replies
1K Views
nasemajee kusamehe ni weakness kama ni ubaya ubaya. mtu akikufanyia umafia usimuache hivi hivi dili nae kisawasawa. I'm out #Kisasi ni haki.
3 Reactions
1 Replies
27 Views
Kanisa la Pentekost la Christ Embassy, chini ya uongozi wa Pastor Chris Oyakhilome, limezindua rasmi safu ya magari yanayotumia nishati ya umeme, ikiwa ni sehemu ya miradi yake ya kiteknolojia na...
2 Reactions
2 Replies
87 Views
Kama inavyoonekana hapa Gen Z uwezo wenu wa akili umethibitika kuwa ni mdogo na hiyo ipo wazi tunaiona hata kwenye maisha ya kila siku. Hata hivi juzi kuna mhadhiri wa chuo kikikuu cha Dar es...
19 Reactions
220 Replies
2K Views
Wakuu mko poa, Kipindi cha nyuma nadhani 2016 wakati Muhongo akiwa waziri aliwahi kupiga marufuku matumizi ya mafuta ya transfoma kwa mapishi ya chips, wakati huo zilikua ni tetesi tu kua kuna...
0 Reactions
9 Replies
282 Views
Nimeanza kumfuatilia kwa karibu wakili huyu katika kesi hii yenye kuvuta hisia za wengi. Nilichogundua ni kwamba yu msomi kwelikweli hana mihemuko lakini intellectual strike capability ni kubwa...
7 Reactions
60 Replies
2K Views
Back
Top Bottom