Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA), Elius Lukumay amesema wanapinga kamata kamata ya malori inayoendelea, na kwamba wako tayari kupaki malori kama hali hiyo itaendelea...
ENEO HOT CAKE SANA LINAUZWA
LIPO DSM VICTORIA
UKUBWA WA ENEO NI EKA 1 AU SQFT 48,500
NI PLOT YA 3 KUTOKA BAGAMOYO RD
FULL DOCUMENTS
BEI NI USD $6m
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717...
Kitabu kitakachoongoza imani hii kitakua na page takribani 600.
Utofauti wa dini hii na hizo nyingine ambazo ni biashara za watu, hii haitakua biashara, hii itakua ni dini ya kumuabudu Mungu wa...
Watanzania wenzangu mbona hamna furaha? Mradi mkubwa kama huu mmeamua kuupotezea?.
Sioni zile bashasha za furaha kama kipindi cha JPM, miradi mikubwa ambayo jpm aliizindua ilipokelewa vilivyo na...
Wakati Madame President, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anaingia ikulu alikuta mtangulizi wake Hayati John Pombe Magufuli akiwa kapiga hatua nzuri ila nchi ilikuwa na mzigo wa kuhudumia project...
1. Sea salt inakuwa imetokana na kuvukisha maji ya bahari wakati ile ya mawe inachimbwa kutoka miamba inayodhaniwa kuwa ilitokea baada ya habari au maziwa ya zamani kukauka
2. Chumvi ya bahari...
Nimekuwa nikifanya biashara na udalali kwa shida sana hadi siku nimeanza kutumia chumvi ya mawe sisemi ni dawa ila imani huponya
CHUMVI imesaidia kunipa kipato cha 200k kwa week i
Imenisaidia...
Kama kawaida yetu, tunaangaza afya ya Tezidume… hii mpya ya leo
Uvimbe wa saratani ya tezidume unaweza kubadilisha mfumo wa kemikali wa asidi ya amino (amino acid metabolism) ili kuondoa vizuizi...
Ukiangalia picha za Chengdu, unaweza kudhani kinachoifanya iwe modern ni skyscrapers na majengo yake marefu pekee. Lakini modernity ya Chengdu iko zaidi kwenye mfumo wa jiji kuliko majengo...
1.kumbe kunatofauti kati ya ujasusi na upelelezi
2.Unaweza kumgeza mshtaki wako kua shahi wako ila unatakiwa uwe mtaalam wa vifungu
3.Shahidi usipotii wito wa mahakama unatakiwa kukamatwa
Habari wana JamiiForums,
Naomba msaada kufahamu zilipo ofisi za Baraza la Wataalamu wa Kemia Tanzania (Chemist Professionals’ Council).
Nahitaji kujisajili kama Registered Chemist.
Kama kuna...
Watanzania wajiandae gharama za usafirishaji tutaziongeza kwa sababu ukifika Stendi ya Magufuli ushushe uchukue lori au usafiri mwingine ukodi upeleke ofisini kwako ili yule anayekuja kupokea huo...
MUNGU HUWAINUA WANYENYEKEVU
1. Wimbo wa Hana (1 Samweli 2:1-10)
Hii ndiyo tenzi kamili inayoanzia kwa maneno uliyotaja "Moyo wangu wamshangilia BWANA" .
Kisha Hana akaomba na kusema:
1 “Moyo...
Huu mradi wa uzalishaji umeme wa julius nyerere ambao ni mkubwa kuliko mradi wowote africa mashariki hatuuoni kabisa umhimu wake sisi kama watanganyika.
Magufuli alisema kabisa mradi ukikamilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.