Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wakuu.... Uhai wa binadamu unaanza wakati gani, akiwa tumboni. Na unakaa sehemu gani ya mwili baada ya kuanza! Cc. Mshana Jr Jagina and others
5 Reactions
98 Replies
542 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA), Elius Lukumay amesema wanapinga kamata kamata ya malori inayoendelea, na kwamba wako tayari kupaki malori kama hali hiyo itaendelea...
2 Reactions
6 Replies
96 Views
ENEO HOT CAKE SANA LINAUZWA LIPO DSM VICTORIA UKUBWA WA ENEO NI EKA 1 AU SQFT 48,500 NI PLOT YA 3 KUTOKA BAGAMOYO RD FULL DOCUMENTS BEI NI USD $6m 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717...
0 Reactions
1 Replies
29 Views
Kitabu kitakachoongoza imani hii kitakua na page takribani 600. Utofauti wa dini hii na hizo nyingine ambazo ni biashara za watu, hii haitakua biashara, hii itakua ni dini ya kumuabudu Mungu wa...
2 Reactions
46 Replies
800 Views
Watanzania wenzangu mbona hamna furaha? Mradi mkubwa kama huu mmeamua kuupotezea?. Sioni zile bashasha za furaha kama kipindi cha JPM, miradi mikubwa ambayo jpm aliizindua ilipokelewa vilivyo na...
2 Reactions
8 Replies
95 Views
Wakati Madame President, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anaingia ikulu alikuta mtangulizi wake Hayati John Pombe Magufuli akiwa kapiga hatua nzuri ila nchi ilikuwa na mzigo wa kuhudumia project...
2 Reactions
6 Replies
148 Views
Hao watu hawapo ofisini na wametajwa kwa majina yao na sio ofisi zao na mbaya zaidi nafasi zao tayar zipo na watu wengine ( VIFUNGU VINASEMAJE UKO?)
0 Reactions
1 Replies
22 Views
1. Sea salt inakuwa imetokana na kuvukisha maji ya bahari wakati ile ya mawe inachimbwa kutoka miamba inayodhaniwa kuwa ilitokea baada ya habari au maziwa ya zamani kukauka 2. Chumvi ya bahari...
7 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifanya biashara na udalali kwa shida sana hadi siku nimeanza kutumia chumvi ya mawe sisemi ni dawa ila imani huponya CHUMVI imesaidia kunipa kipato cha 200k kwa week i Imenisaidia...
76 Reactions
266 Replies
26K Views
Kama kawaida yetu, tunaangaza afya ya Tezidume… hii mpya ya leo Uvimbe wa saratani ya tezidume unaweza kubadilisha mfumo wa kemikali wa asidi ya amino (amino acid metabolism) ili kuondoa vizuizi...
1 Reactions
2 Replies
48 Views
Ukiangalia picha za Chengdu, unaweza kudhani kinachoifanya iwe modern ni skyscrapers na majengo yake marefu pekee. Lakini modernity ya Chengdu iko zaidi kwenye mfumo wa jiji kuliko majengo...
7 Reactions
22 Replies
255 Views
1.kumbe kunatofauti kati ya ujasusi na upelelezi 2.Unaweza kumgeza mshtaki wako kua shahi wako ila unatakiwa uwe mtaalam wa vifungu 3.Shahidi usipotii wito wa mahakama unatakiwa kukamatwa
5 Reactions
17 Replies
305 Views
Habari wana JamiiForums, Naomba msaada kufahamu zilipo ofisi za Baraza la Wataalamu wa Kemia Tanzania (Chemist Professionals’ Council). Nahitaji kujisajili kama Registered Chemist. Kama kuna...
1 Reactions
30 Replies
218 Views
Watanzania wajiandae gharama za usafirishaji tutaziongeza kwa sababu ukifika Stendi ya Magufuli ushushe uchukue lori au usafiri mwingine ukodi upeleke ofisini kwako ili yule anayekuja kupokea huo...
12 Reactions
35 Replies
554 Views
MUNGU HUWAINUA WANYENYEKEVU 1. Wimbo wa Hana (1 Samweli 2:1-10) Hii ndiyo tenzi kamili inayoanzia kwa maneno uliyotaja "Moyo wangu wamshangilia BWANA" . Kisha Hana akaomba na kusema: 1 “Moyo...
2 Reactions
13 Replies
174 Views
Huu mradi wa uzalishaji umeme wa julius nyerere ambao ni mkubwa kuliko mradi wowote africa mashariki hatuuoni kabisa umhimu wake sisi kama watanganyika. Magufuli alisema kabisa mradi ukikamilika...
11 Reactions
39 Replies
588 Views
Back
Top Bottom