Tanzania ni nchi ya pili duniani kwa utozaji mkubwa wa kodi za mawasiliano,ambapo inatoza gharama ya asilimia 30 ukilinganisha na Uturuki ambayo ni ya kwanza kwa asilimia 45.Viwango hivyo ni...
Ndullu also must go. He was there as a deputy governor throughout BoT scandals namely EPA, dubious payments to fisadi Mkono, overstated cost of buulding twin towers etc.
BoT board of directors...
Ajiunga CCM na kuibua siri nzito NCCR
na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa Oganaizesheni na Uchaguzi wa NCCR-Mageuzi taifa, Bhakome Mugeta, amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
Jamaa juzi kwenye blog yake akasema anakwenda Dodoma kwenye vekesheni
Leo anapost images alizochukua Dodoma kuonyesha baadhi ya wakereketwa wa CCM wakiunga mkono hotuba ya mheshimwa. guess...
Kuhusiana na habari hii inaonyesha dhahiri kuwa hili linaweza kuwa ni doa kwa umoja wa Waarabu, na pia inawezekana kabisa kuwa kuna mkono wa US ili waweze kuwagawa na kuishambulia Iran kwa urahisi...
ERB study proposes new minimum wage
2008-08-27 11:08:18
By Bilal Abdul-Aziz
A Consultant commissioned by the government to review minimum wage rates has suggested a scale of between...
Wezi EPA waanikwa
Mwandishi Wetu Agosti 27, 2008
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo
Ni baada ya jk kuhutubia bunge
SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete, kuongeza muda wa kikosi...
Ukusimulia tukio hilo, utadhani ni zile hadithi za kubuni za elfu lela ulela siku alfu na moja. Lakini amini usiamini, limetokea Jijini Dar es Salaam.
Mtu katoka nyumbani kwake salama, akavuka...
Usafiri ndani ya Jiji la Dar es salaam lenye takribani watu milioni nne umekuwa ni mkuki mchungu kwa sisi makabwela. Mtu unayepanda magari mawili kwenda kazini au kwenye shuguli ya kujipatia rizik...
Waandishi Wetu
Daily News; Monday,August 25, 2008 @00:02
Kauli ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, kupinga uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kuwekeza...
Iran. Radical Islamic government. Known sponsors of terrorism. Developing nuclear capabilities to 'generate power' but threatening to eliminate Israel,"says the ad, which was being run in key...
Waandishi Mara wakosa imani na Jukwaa la Wahariri
Mwandishi Wetu
Daily News; Wednesday,August 27, 2008 @00:03
Klabu ya Waandishi wa Habari mkoani Mara (MRPC), imesema haina imani na tume...
TFF hasara mil. 71/-
MECHI YA STARS, GHANA
na Dina Ismail
MECHI ya kirafiki ya kimataifa kati ya timu ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, na Ghana, The Black Stars, iliyopigwa...
Wakuu heshima mbele.
Kwa masikitiko makubwa,
Na kwa haki yangu ya Kikatiba ya kutoa maoni.
Naomba kutoa mtazamo wangu juu ya huduma zitolewazo katika Hospitali ya Mwananyamala.
Kwa sasa...
Shukrani sana wana JF kumbe huyu Jeetu Patel alianza siku nyingi sana kuwa karibu na viongozi wetu? Nilipoangalia posts za wenzangu nimeweke hii kama historia fupi ya Mwanzo wa EPA.
Hapa Jeetu...
NMB Bank mko makini kwenye uuzaji wa shares zenu? Mbona mnatufanya waanachi mambubumbu? Tangu lini shares zikauzwa bila "prospectus". Tukiwauliza watendaji wenu wanasema eti "safari hii mmetoa...
Wadau nikipitia habari za dunia na nikakutana na hili..
://www.chicagotribune.com/news/nationworld/sns-ap-odd-nuns-beauty-contest,0,5202028.story
ROME (AP) _ An Italian priest and theologian...
Zitto awabana mawaziri
na Salehe Mohamed, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) Zitto Kabwe, amewalaumu mawaziri na baadhi ya viongozi wa serikali kwamba wamechangia kuyaua mashirika...
Majambazi yenye sare za Jeshi la Rwanda yauawa
*Yakutwa na silaha nzito yakiwemo mabomu
Na Esther Macha, Mbeya
MAJAMBAZI watatu yakiwa na sare za Jeshi la Rwanda yameuawa na wananchi...