Hivi, Wana-wa-Adam kwa kawaida huwa tunaogopa Kufa au Kutangulia na kuwaacha watu walioko kwenye circle zetu?
Imagine - ukigundua kuwa siku utakayokufa, watu wote kwenye circle yako (ndugu...
Mwanajeshi Dar adaiwa kumuua mkewe kwa kummiminia risasi
2008-07-29 20:47:01
Na Mwanaidi Swedi, Kinondoni
Askari wa Jeshi la Wananchi Kambi ya Lugalo, anadaiwa kumuua mkewe kwa kummiminia...
Mafisadi watashinda, lakini
Padri Privatus Karugendo Julai 30, 2008
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo
VITA ya kupambana na mafisadi wa nchi ilianzia mbali, watu wengi wameshiriki vita...
Botswana in a froth over beer
Letlhogile Lucas
BBC News, Gabarone
Botswana's cabinet is expected to approve a drastic increase in the price of beer - a staggering 70% - when it meets...
Mshindwe wenyewe,
Kwa wale wanaodhamiria kuwa wajasiriamali. Kuna ideas nyingi zimetolewa na jamaa wengi, mfano Y Combinator ambao pia wanatoa-funding.
When we read Y Combinator applications...
July 31, 2008
Karadzic Arrives in Hague for Trial Despite Violent Protest by Loyalists
By MARLISE SIMONS and DAN BILEFSKY
THE HAGUE Long one of the most-wanted fugitives in the world, Radovan...
Sen. Stevens indicted: 7 false statements counts
Sen. Ted Stevens, the longest-serving Republican senator and a figure in Alaska politics since before statehood, was indicted Tuesday on...
Prediction of the coming Disasters
Mr. Juseleeno, born in 1960 (reportedly still alive in 2008), is a
Brazilian who has made many predictions, and MOST have come to pass,
including...
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ametoboa siri nzito ya Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, jinsi alivyomteua mara mbili kuwa waziri mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na kuwa waziri mkuu...
Ni jambo la kusikitisha kwa timu kubwa kama Yanga kutofika uwanjani na kuwaonyesha wananchi burudani. Ninawiwa kusema kwa utaratibu huo hatutafika.
Mimi si mpenzi sana wa mpira. Ila ninapoona...
Kevin Carter's Work, 1994.
.... and Masoud's (adaptation) work below:
Cartoon by Kipanya. Courtesy of: haki-hakingowi.blogspot.com
.... i would've otherwise called it a 'spoof', but i think...
Nitakwenda na kuileta ile hotuba ya Mbeki pale mlimani alipoweka wazi kuwa matatizo ya Afrika yanasababishwa na wale wenye ELIMU!
Kauli ya MBEKI ni NZITO na ya kutafakari kwani alipoitowa pale...
Makachero walaaniwa bungeni kwa uvamizi ofisi za Gazeti Mwanahalisi
*Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu alipuliwa
*Ambiwa hana tija, upinzani wataka nafasi ifutwe
Na Ramadhan Semtawa, Dodoma...
Wahamiaji wavamia Mvomero kusaka dhahabu
Mwandishi Wetu, Mvomero
Daily News; Monday,July 28, 2008 @20:13
Raia wa kigeni wameingia kwa wingi kinyemela katika milima ya vijiji vya Wilaya ya...
Kuna habari za kushangaza sana kutoka katika chuo kimoja cha St. Joseph kilichopo hapa Ruhuwiko Songea juu ya madai ya wanafunzi kulazimishwa kulipa kiasi cha shs 20,000 kwa wanafunzi wa shahada...
Sijui JK naye lini atakuwa shocked na umaskini uliokithiri miongoni mwa Watanzania walio wengi
Zuma 'shocked by white poverty'
BBC News Online
Jacob Zuma said he wanted all people to...
Mtu adaiwa kufufuka
2008-07-28 09:22:01
Na Patrick Chambo, PST Hai
Mamia ya wananchi katika Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, wameshikwa na butwaa baada ya kumuona msichana aliyedaiwa...
Date::7/16/2008
Bodi Benki Kuu Tanzania yabariki ukaguzi maghorofa pacha Dar
Na Ramadhan Semtawa
Mwananchi
KATIKA hatua ya kuondoa utata kuhusu gharama halisi za ujenzi wa majengo pacha...
Hapo ni Misungwi Mwanza, iwapo utapatikana unatumia choo hicho hapo juu bila kulipa utapata faini ya buku kumi hapo hapo pasipo kufikishwa Mahakamani....
Adha ya Wafagiaji wa barabara jijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.