Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Naona wakati mkutano ukianza, Dr. Shein alikuwa interrupted na waandamanaji Wazimbabwe, waliopinga kitendo cha Tanzania kukaa kimya hali ni mwenyekiti wa AU. Mengi yataendelea kuwafikia. Baadae...
0 Reactions
147 Replies
24K Views
Rashida Khatoon Sunday, April 19, 2009 4:12 AM Mwanamke mmoja nchini India amejipatia umaarufu na kuwa gumzo nchi...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Ndugu Kama uko na TV yako sasa hivi Fungulia TBC1 wanaonyesha kipindi maalumu kuhusu Vita ya Kagera , uzuri ni kwamba picha nyingi zina rangi kidogo , nashangaa sana wakati huo watu walikuwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
The disappearance of five Tanzanian youth footballers has prompted the Swedish Migration Board (Migrationsverket) to tighten entry requirements for non-European players in the Gothia Cup, the...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Sikum moja baada ya serikali kutoa taarifa za uwekezaji tata wa mgodi wa makaa ya mawe huku ikionekana kuna utata kumbeba rais mstaafu benyamini william mkapa ambaye kampuni yake ya ANBEM ilitajwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Leo nimekumbuka pesa tulizokuwa tunatumia tulipokuwa watoto wadogo, sisi tulikuwa tunaita hela. Kwa mfano: Hela tano (senti kumi) uliweza kununua andazi moja au pipi gololi sita. Hela kumi (senti...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Eneo la tukio likiwa na mabaki ya tindikali na alama za adamu Friday, July 24, 2009 11:46 AM Mwanaume mmoja nchini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana ndugu wapendwa katika bwana nimependa kuwapa moyo watanzania hususani serikali ya tanzania msijisumbue na makelele ya baadhi ya watu ...hii mahakama inayopigiwa kelele haitakuwa katika jina...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
I turned from black to white: How a skin disorder changed a man's identity and his place in the world By Luke Davis Last updated at 8:28 AM on 24th July 2009 As a five-year-old, every night...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wakuu! Wilaya ya Ukerewe ni walaya ambayo iko ndani ya mkoa wa Mwanza, Wilaya hii kutokana na utajiri wake wa maliasili, Ziwa, Mistu Minene, Ardhi yenye rutuba na Vivutio vingi tu vya utalii...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Kwenu wana JF:: Leo hii ningependa kukumbushana umuhimu wa kinywa,vuvia kinywa chako na ubadili ulimwengu wako wa kiroho..,wapo watu weingi hawajui umuhimu wa kuchunga kinachotoka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Hii ni jinsi nionavyo mimi kuhusu watanzania na maisha yao ya kila siku. Nimewatazama watanzania wenzangu kama watu wanaoishi kwa matukio yaani leo wamesikia hili kabla...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Sisemi mimi kama Chereko bali nachereka na maneno ya Waziri Kapuya kama nilivyosoma kwenye habari Leo jumamosi iliyopita -eti Watanzania sio waaminifu na hawajui kiingereza ndio maana kwenye...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Wakuu, naleta kwenu mada hii kwa nia njema kabisa kuhusiana na wenzetu walioko nje ya Tanzania ambao ni member hapa JF. Nimekuwa nikisoma post zao na michango kadhaa kuhusiana na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakati inajulikana kabisa kuwa ushuru wa forodha unasimamiwa na mamlaka ya mapato tanzania(TRA) ambayo iko chini ya serikali jamhurii ya muungano Tanzania,kuna habari mamlaka hiyo inatoza ushuru...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, ninavyofaahamu mimi mitishamba ni dawa nzuri sana kama ukizijua na kujulia kizitumia. Mababu zetu ziliwasaidia sana kabla ya kuja za kizungu na feki za kichina ambazo zingine ndio...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
2 NJ mayors, lawmaker arrested in corruption case - Yahoo! News
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kodi Tsh. 120,000,000.00 Samani Tsh. 200,000,000.00 Gari Tsh. 300,000,000.00 Sitting allowance ? Matibabu ? Salary ? Marupurupu mengine ...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Chama Cha Mafisadi kazi kwao kama watasuka au watanyoa ,ubabe wenu unamulikwa kila kona ya dunia , East Tanzania huenda likawa ndio jina jipya na kuna tegemeo kuwa hata visiwa vya Mafya navyo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wazee mambo ya pabu hayo... ukata umefika kwa bibi!!!!! UK pubs closed at a rate of 52 per week in the first half...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…