Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,775
- 37,960
Kwenu wana JF::
Leo hii ningependa kukumbushana umuhimu wa kinywa,vuvia kinywa chako na ubadili ulimwengu wako wa kiroho..,wapo watu weingi hawajui umuhimu wa kuchunga kinachotoka mdomoni..kinywa kina mambo mengi ambayo kama utakaa na ya kutyatafakari utakuja kukuta through kinywa
--kinageuza
--kinaweka agano
--kinaua
--kinaponya
--kinarekebisha tabi na mambo mengi.ndugu wapendwa tukiwa katika wakati huu ni vyema tuvhunge nini tunachotoa mdomoni.....
kupitia kinywa mungu aliumba tunaweza kusoma katika mwanzo 1:3 mungu akasema iwe nuru ikawa nuru..mstari wa 5 mungu akaita nuru ikawa nuru..6,akasema na liwe anga ikawa.9 akasema maji yaliyochini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja ili pakavu paonekane na ikawa...kwa mistari zaidi waweza soma
mwanzo 2:19
MARAFIKI WANAWEZA KUAMUA HALI YAKO YA MAISHA THROUGH KINYWA
---mithali 13:20
---mitahali 21:16
---ayubu 5:21 utafichwa na mapigo ya ulimi wala usiogope maangamizo na njaa.....hapo unaweza ona nguvu ya kinywa ilivyo
----Rum 4:17 tamka unachoitaji utafanikiwa ukiwa na imani...usikae kulalamika MUNGU amekusahau hapana amesema ombeni nanyi mtapewa
----KUTOKA 18:20
Njia unayopaswa kuongea..biblia inasema nawe utwafundisha zile amri na sheria mawe utawaonyesha njia ambayo inawapasakuiendelea na kazi ambayo inwapasa kufanya
Leo hii ningependa kukumbushana umuhimu wa kinywa,vuvia kinywa chako na ubadili ulimwengu wako wa kiroho..,wapo watu weingi hawajui umuhimu wa kuchunga kinachotoka mdomoni..kinywa kina mambo mengi ambayo kama utakaa na ya kutyatafakari utakuja kukuta through kinywa
--kinageuza
--kinaweka agano
--kinaua
--kinaponya
--kinarekebisha tabi na mambo mengi.ndugu wapendwa tukiwa katika wakati huu ni vyema tuvhunge nini tunachotoa mdomoni.....
kupitia kinywa mungu aliumba tunaweza kusoma katika mwanzo 1:3 mungu akasema iwe nuru ikawa nuru..mstari wa 5 mungu akaita nuru ikawa nuru..6,akasema na liwe anga ikawa.9 akasema maji yaliyochini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja ili pakavu paonekane na ikawa...kwa mistari zaidi waweza soma
mwanzo 2:19
MARAFIKI WANAWEZA KUAMUA HALI YAKO YA MAISHA THROUGH KINYWA
---mithali 13:20
---mitahali 21:16
---ayubu 5:21 utafichwa na mapigo ya ulimi wala usiogope maangamizo na njaa.....hapo unaweza ona nguvu ya kinywa ilivyo
----Rum 4:17 tamka unachoitaji utafanikiwa ukiwa na imani...usikae kulalamika MUNGU amekusahau hapana amesema ombeni nanyi mtapewa
----KUTOKA 18:20
Njia unayopaswa kuongea..biblia inasema nawe utwafundisha zile amri na sheria mawe utawaonyesha njia ambayo inawapasakuiendelea na kazi ambayo inwapasa kufanya