Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Habari nimezipokea sasa hivi kwenye Mobile yangu kutoka kwa (Voa) voice of America Zinasema UN imesema kuwa Watu Millioni 200 Wanaishi katika Mitaa ya Mabanda katika Bara la Afrika idadi kubwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I am truly sorry': Pope Benedict apologises for decades of child abuse in Irish Catholic Church Last updated at 4:39 PM on 20th March 2010 Pope Benedict XVI today addressing...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huu msemo kuwa " wasichana/akina dada husaidiwa na akina kaka vyuoni" unatoka wapi? Nijuavyo mimi kila mmoja awe msichana au mvulana hufuzu kuingia chuo baada ya kupitia mchakato.Hakuna njia ya...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Papa Awaomba Radhi Watoto Waliolawitiwa na Wachungaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, napenda kuuliza swali baada ya maelezo yafuatayo! Mtoto anaanza uhai toka siku ya kwanza anatungwa mimba, hili bila shaka halina ubishi. Anakua hadi umri wa miezi 9(with more or less)...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
I have met this bold lady in ze street just today, for ze first time on earth!.............Too bad, she has broken the news to me that she was on her way, going for a 30 days Holidays, down to the...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimesoma hii habari huku nikitabasamu: 1. Mkutano umefanyika Hoteli ya Whitesands kwa sababu gani? Hakuna ukumbi wa mikutano kwenye ofisi ya Waziri Mkuu? 2. Mkutano unazungumzia kilimo kwanza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita nimekuwa nikimsindikiza Bi. Mkubwa Muhimbili kwa ajili ya kuonana na Daktari. Kiutaratibu, ukishafika unasubiri kusikia jina lako likiitwa toka kwenye lundo la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mdau mmoja wa JF kaandika akionekana kama kuwalalamikia ACCESS BANK abt kucheleweshewa kufunguliwa Business Account. Mdau alipeleka documents zake pale ACCESS ili afunguliwe business account...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Trafiki Dar wachangiana sh 10,000,000 kwa siku • Ni matokeo ya 'mabao' ya sh 3000 wanayopiga daladala, teksi na Kulwa Karedia na Martin Malera RUSHWA ndogondogo za barabarani zimewanufaisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MAITI ya mtoto mdogo wa kike anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka miwili hadi mitatu, imekutwa juu ya kaburi katika eneo la Buguruni Madenge, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Intruder Breaks In To Get Warm, Snuggle In Bed For one Mt. Washington, Pennsylvania, resident, it was the weirdest night of his life. For Michael Karanja Kamau, it was just a really cold...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hizi ofisi zetu zina vikao sijapata ona. Yaani kila ofisi ukijaribu kuweka appointment kumwona mtu fulani, utasikia yupo kwenye kikao tangia asubuhi. Ukisema uje kumwona kesho, utasikia kuwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Inasemekana walioiba hela muhimbili ni ma keshia
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni leo ndio kwa mara ya kwanza nimeona hili agizo la SUMATRA kwa wamiliki wote wa mashule wanaotoa huduma ya usafiri kwa wanafunzi wao, eti wanataka mabasi yote ya wanafunzi yapakwe rangi za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu, Nilifika Tandale Sokoni majira ya saa 11, jioni nikiwa na ndugu zangu niliotoka nao Zanzibar, ambapo kesho yake alfajiri walitakiwa kuondoka kwenda nje ya nchi, sasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
this is an important link that sheds sme light on genocide. babukijana, wacha, naomba kama mko europe au sehemu yenye fast internet muangalie hii testimony kwenye youtube YouTube- Rwandan...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WATU wasiojulikana, majuzi usiku walivunja kioo cha gari ya matangazo iliyokuwepo katika msafara wa Makamu wa Rais, Dk Ali Mohamed Shein aliyekuwepo mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi ya siku tano...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
If U were born on the 1st, 10th, 19th, 28th of any month U r number 1 If U were born on the 2nd, 11th, 20th, 29th of any month then U r number 2 If U were born on the 3rd, 12th, 21st, 30th of...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…