Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,314
- 33,108
Habari nimezipokea sasa hivi kwenye Mobile yangu kutoka kwa (Voa) voice of America Zinasema UN imesema kuwa Watu Millioni 200 Wanaishi katika Mitaa ya Mabanda katika Bara la Afrika idadi kubwa kuliko yote dunia.
Hii kitu imenihuzunisha kiasi najiuliza moyoni mwangu ni kwanini sisi watu weusi tunaishi katik mazingira ya kimasikini sana kuliko binadamu yoyote duniani? nikaona Bora na nyinyi ndugu zangu niwape hii habari niliyopata sasa kutoka huko Sauti ya (Voa) nawaombeni tulijadili hili suala la mazingira ya kimasikini hapa kwetu Tanzania Viongozi wa Chama na Serikali wanalichukuliaje hilo Suala asanteni ndugu zangu.
Hii kitu imenihuzunisha kiasi najiuliza moyoni mwangu ni kwanini sisi watu weusi tunaishi katik mazingira ya kimasikini sana kuliko binadamu yoyote duniani? nikaona Bora na nyinyi ndugu zangu niwape hii habari niliyopata sasa kutoka huko Sauti ya (Voa) nawaombeni tulijadili hili suala la mazingira ya kimasikini hapa kwetu Tanzania Viongozi wa Chama na Serikali wanalichukuliaje hilo Suala asanteni ndugu zangu.