Walutheri waruhusu ndoa za mashoga
na Mwandishi Wetu, STOCKHOLM, Sweden
KANISA la Kiinjili la Kilutheri lenye waumini wengi zaidi nchini hapa, limekubali kubariki ndoa za watu wa jinsia...
---yakatisha safari na kurejea dar
---ilijaa viongozi wa serikali walioenda kuhudhuria sikukuu ya wanwake dunian iliohitimishwa na rais jk
ndege ya shirika la ndege atcl juzi...
Katika kukaa kwangu hapa Dar kwa muda wa miaka 10 iliyopita kuna vitu vimekuwa vikiongezeka kila kukicha
1-makanisa yanaongeza sana
2-Bar na Grosery na Night Club
3-Sehemu za ukahaba zinaongezeka...
Jamani sijui dhambi kuuliza
nilpoanza jua uvccm nilijua ya vijana
sasa inansumbua kuona majuzi
mizee na mimama imejazana kwenye mkutano
wa makanda wa uvccm
nkajiuliza hii ni uvccm ama ndio watu...
JANA ilikuwa ni Siku ya Wanawake Duniani. Viongozi wakuu wa nchi, wanaharakati wa masuala ya usawa wa kijinsia na wanawake walio mfano kwa wengine walikusanyika kutafakari hali ya kundi hilo...
AP This Friday, March 5, 2010, photo shows a copy of 'Letters to Jackie: Condolences From A Grieving Nation,'
By HOLLY RAMER, Associated Press Writer Holly Ramer, Associated Press Writer ...
Utaamini wanachokiandiak Nipashe? Story yao ya Kagame kuishutumu Tanzania wali-monitor BBC. Waliosikiliza BBC siku hiyo watasema kuwa jamaa hakuitaja Tanzania haa mara moja. It is common sense...
Na Ezekiel Kamwaga
UTAWALA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), chini ya Dk. Daudi Balali ulikuwa na utaratibu wa kulipa mawakili wa kukodi wa makampuni tofauti lakini kwa kazi ileile, imegundulika...
This is the lowest piece of skill i ever seen
Swali langu ni kuwa
Je wakishamaliza utakuwa ni paved au un paved
Vile vile n hatari kwa ndege zisizokuwa na gravel kit ku cope,
Yaani ni pease ya...
SIKU chache baada ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), kutangaza mgomo wa wafanyakazi nchi nzima, Rais Jakaya Kikwete amesema anaamini shirikisho hilo litatumia busara na si...
Wadau, hivyi mnajua kuna makanisa yametenga siti maalum kwa watu (VIP) fulani n ukikaa hizo siti lazima utanyanyuliwa. Ukiuliza sababu unaambiwa wewe utaweza kulipa 250,000 kila jumapili kama...
Nimejaribu kutafakari juu ya hii title ya heshima tunayotumia kwa viongozi wetu kwa kuwaita 'waheshimiwa'. Kwa kweli nilichogundua ni kwamba kuna wanaostahili uheshimiwa, na baadhi hawakustahili...
Wakuu leo imetokea tu nikawa najiuliza hovi Rais wa Zanzibar huwa anashiriki katika shuguli za kimaendeleo ktk Tanganyika? Yaani kama kuzindua miradi, kulutana na wananchi na kutembelea wahanga wa...
Jina langu ni Kichuguu mwana wa Porini, huwa natambuliwa rasmi kama Kichuguu Cha-Porini. Rafiki zangu wananiita majina tofauti, wale niliokuwa nao shule ya msingi sekondari na JKT huniiita...
DHANA YA UKOMBOZI WA MWANAMKE BADO NI TATA.
- ASASI NYINGI ZIMEANZISHWA KUWEKA MIKAKATI YA KUMKOMBOA
MWANAMKE.
- WANAWAKE WENGI WAMEINGIA MADARAKANI KWA KUWAAHIDI UKOMBOZI...
UMEME UMERUDISHWA, REPEAT UMEME UMERUDISHWA BAADA YA MATTENGENEZO MAKUBWA.
HIVI SASA UMEFIKIA HAPO MTONI CONTROL NA ENERGIZING YA T1 NA T2 AT 132KV PRIMARY 33KV SECONDARY
TAYARI...