Mbona makanda wa UvCCM wazee watupu?

Mar 6, 2010
74
0
Jamani sijui dhambi kuuliza

nilpoanza jua uvccm nilijua ya vijana
sasa inansumbua kuona majuzi
mizee na mimama imejazana kwenye mkutano
wa makanda wa uvccm
nkajiuliza hii ni uvccm ama ndio watu kumeegana ulaji
mbona nyie wamama vijana awaji kwenu uko

majuzi nimeona idd azan anampa ukamanda mama mmoja wa kindoni sikukose a jina anaitwa shimwana sherally nkajiuliza hyu ni kijana gafla mkutano wa majuzi nkajua aah kumbe makamanda ni wazee tupu.....
Amchoki na nyie
 
Mtizamo wa ccm vijana ni taifa la kesho. Hata hivyo usisahau kwamba 'tomorro shall never come'
 
Kwa CCM njia ya kwenda bungeni huazia kwenye ukamanda lakini mimi nawashangaa hawa UVCCM ina maana wao hawako tayari au hawana nia ya kugombea ubunge mpaka umri usogee maana nguvu wanazotumia kuwakweza hawa makamanda wazee wangezitumia miongoni mwao nafikiri bunge letu lingekuwa ni wabunge vijana wengi lakini labda imani ya vijana ni taifa la kesho imewapumbaza kufikiria zaidi kwamba wanaweza kupelekana bungeni.
 
CCM kuna jumuiya ya wazazi na vijana tu, so kama unajiona haufiti kwa wazazi unakimbilia kwa vijana bila kujalisha una umri gani.
 
CCM is simply illogical, sasa kaa unategemea kutafuta vitu ktk uhalisia wake huko CCM umepotea njia mkulu.
 
Hata mimi huwa wananishangaza.Eti kamanda wa vijana jitu kubwa libaba la makamu..Kwani vijana wenyewe hawawezi kuwa makamanda?Ila msiwashangae sana mmesahau hata JK wakati anagombea alisema yeye ni kijana?mmesahau hata Nchimbi aliendelea kuwa Mwenyekiti wa UVCCM akiwa ameshapita ujana kikatiba?mmesahau hata kina Masha na David Mathayo wanajiita wabunge vijana?kwa CCM hata ukiwa una miaka 60 wewe ni kijana,teh teh teh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom