major mkandala
Member
- Mar 6, 2010
- 74
- 0
---yakatisha safari na kurejea dar
---ilijaa viongozi wa serikali walioenda kuhudhuria sikukuu ya wanwake dunian iliohitimishwa na rais jk
ndege ya shirika la ndege atcl juzi ilikwamisha safari za maofisa waandazi mi wa serikali kadhaa waliojazana kukuelekea tabora kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani
ndege hiyo iliondoka ikiwa imejaza maofisa hao ililazimika kuridi njian baada ya kupata hitilafu ikiwa angani na kusababisha kurudi...baadhi ya maofisa wa serikali waliohojiwa walikiri kukatishwa afari na kurdi dar ambapo ndege iliarisha kabisa safari ya tabora na hivyo kukosa siku hiyo muhimu
hataa hivyo kaimu mkurugenzi wa atcl bw william haji alipopigiwa simu ilibaki inaita kablya ya kujaribu tena na kupolekewa alisema tatizo lililoisibu alikuwa kubwa kama watu wanavyolikuza
kama kungekuwepo na hitillafu ningejua..lakini kama ilikuwapo ya kawaida imerekebishwa..
Kilichotokea siku hiyo ndege ilicheelewa kupona na muda wa kutua tabora saa tisa kutokana na kuingia giza mapema...jambo lililolazimishwa safari kukatizwa..
Hata hivyo alisema mzigo wa gharama a kuhifadhi mizigo na abiria zilikuwa juu ya atcl
srce nipashe 9march 2010
---ilijaa viongozi wa serikali walioenda kuhudhuria sikukuu ya wanwake dunian iliohitimishwa na rais jk
ndege ya shirika la ndege atcl juzi ilikwamisha safari za maofisa waandazi mi wa serikali kadhaa waliojazana kukuelekea tabora kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani
ndege hiyo iliondoka ikiwa imejaza maofisa hao ililazimika kuridi njian baada ya kupata hitilafu ikiwa angani na kusababisha kurudi...baadhi ya maofisa wa serikali waliohojiwa walikiri kukatishwa afari na kurdi dar ambapo ndege iliarisha kabisa safari ya tabora na hivyo kukosa siku hiyo muhimu
hataa hivyo kaimu mkurugenzi wa atcl bw william haji alipopigiwa simu ilibaki inaita kablya ya kujaribu tena na kupolekewa alisema tatizo lililoisibu alikuwa kubwa kama watu wanavyolikuza
kama kungekuwepo na hitillafu ningejua..lakini kama ilikuwapo ya kawaida imerekebishwa..
Kilichotokea siku hiyo ndege ilicheelewa kupona na muda wa kutua tabora saa tisa kutokana na kuingia giza mapema...jambo lililolazimishwa safari kukatizwa..
Hata hivyo alisema mzigo wa gharama a kuhifadhi mizigo na abiria zilikuwa juu ya atcl
srce nipashe 9march 2010