Jamani nina shida ya vocha ya Tsh mia tano (500) tu naomba mtu anitumie namba ya vocha. Naihitaji sana ila hapa nilipo siwezi kuipata. Kunihamishia kutoka kwenye simu yako haitafaa. Asante
Watanzania wamelalamikia tume ya uchaguzi kwa kuwa na sehemu chache za kujiandikishia na huku ukifika watu wengi unakuta watu watatu tu..sehemu ya kimara ilikuwa ni sehem,u ilioathirka na swala...
Katika swala linaloonyesha kuna kazi kubwa serikalini...transfoma moja iliokuwa kwenye gari ndogo ikiwa na tan 42 imeshidwa kusafirishwa baada ya kukamatwa na wakala wa barabara na kukutwa gari...
Mjumbe wa halmashauri kuu ya Taifa (MNEC) CCM anaeuwakilisha mkoa wa Tabora na Mbunge wa Igunga Mh Rostam Aziz Jumapili hii ataapishwa rasmi kuwa kamanda wa Uvccm wilaya ya Igunga katika kipindi...
na Lucy Ngowi
MBUNGE wa Viti Maalum, Janeth Massaburi (CCM), amebainisha kuwa mkoa wa Dar es Salaam, unaongoza kwa rushwa ya ngono hasa kipindi cha uchaguzi au mtu anapotaka uongozi.
Kauli...
Kuna habari toka microsoft na norton kuwa ukifungua e mail toka kwa simon25@hotmail.co.uk.computer yako utakuwa umeiharibu na kumbukumbu zote zitaathirika.
Wakuu
Thanks God is Friday - I got my salary today.
i) kwa hiyo nina uhakika wa kulipa madeni ya mwezi huu kwa mangi ili nianze kukopa tena ya mwezi ujao
ii) Naweza kutoka kula kitimoto na...
Thursday, March 25, 2010 10:52 AM
IMEDAIWA kuwa zaidi ya wanafunzi 300 wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), leo wamepanga kuandamana kutoka chuoni hapo hadi Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu...
Moses Wilson, the Unaa president and his family. Happy parents will have happy children who will turn out to be jolly spouses. Children learn to love from their families, from what they see, and...
World's cleverest man turns down $1million prize after solving one of mathematics' greatest puzzles
Last updated at 11:02 PM on 22nd March 2010
No need for greed: A rare photo of...
Mama mangunga mpaka leo wahusika wako mtaani wanakula kuku
hii aibu mpaka doha mama mbona tunatiwa aibu...na mhusika
mkuu mnamjua mnakaa kimya!!!!
Nakupenda tanzania
serikali ya tanzania...
Ukiwa ghetto umelala na masela usiku unashtushwa na ubaridi pamoja na unyevunyevu kwene TIGO,unaamka lkn ulipoangaza unakuta kila mtu yuko bize na usingizi tena wanakoroma kwa saaana tuu..unaamua...
Ndugu zangu kuna hii promosheni ya habari ndio hio ya kuongea tsh1 kwa sekende wao (voda) wanasema tutatumia Tsh1 kwa Sekunde kwa siku nzima. jana nikaweka line yangu ya voda na kuweka vocher ya...
Call 18003733411 from your US Landline/Mobile. The operator will greet you with a welcome message and ask you to select one of the FREE411 service. The Last option is Free Call. You dont have...
WASHITAKIWA watatu jana walifanya kituko mahakamani kwa kuvua nguo na kubaki uchi huku wakiwa wamejipaka kinyesi kibichi cha binadamu na kisha kutoroka kabla ya kukamatwa tena baadaye.
Tukio...
Ukiwa ghetto umelala na masela usiku unashtushwa na ubaridi pamoja na unyevunyevu kwene TIGO,unaamka lkn ulipoangaza unakuta kila mtu yuko bize na usingizi tena wanakoroma kwa saaana tuu..unaamua...
Hili suala limekuwa kama jadi ya Watanzania wengi sana hasa mijini na majiji kwa watu kutumia nyembe kwa matumizi yao binafsi na kuzitupa hovyo barabarani na wanaoathirika ni watoto wadogo ambao...
Daniel Mjema, Moshi
Gazeti la Mwananchi
MWANAMKE ambaye ni mke wa mtu mwenye watoto watatu, amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na...
Namna ambavyo sheikh anavyotumia vyombo mbalimbali vya habari na mawasiliano kunadi unajimu wake, ni kama yuko kwenye promosheni ya biashara yake.
Kweli wasikilizaji wa unajimu wake wameongezeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.