Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Sweden Democrats fear Islamic revolution Published: 17 Sep 10 15:31 CET An Islamic revolution akin to the one that swept through Iran in 1979 could easily take place in Sweden, claims the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
*This is happening now in Tanzania!* Sad, especially if you are inclined to 'help' people...* While driving on a rural end of the roadway on Thursday morning, I saw an infant car seat on the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakati tanzania watu wakiongeza station za mafuta na kuvunja nyumba za watu kuweka ujenzi wa shell huko bujumbura imani imewashinda baada ya kuwakuta wenzao rwanda wao wamekamata madereva 12...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika zoezi linalashiria mwisho wa dunia sasa wananchi wa kenya waliofiwa wamekusanyika majuzi na jana hosp ya kenyata kuangalia kama marehemu zao wanazikwa na nyeti zao..zoezi hili lilianza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Warumi 13:1-7 maneno ya Mungu yafuatayo yameandikwa: "Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu. 2Kwa hiyo yeye...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Siku sio nyingi Tigo walishusha sana bei za mawasiliano na almost kila mtu alinunua line za Tigo, sasa siku hizi naona nikitumia Tigo-Tigo ni ghali sio kama zamani..Hivi kwa sasa ni ni ipi rahisi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wan JF, Habari nilizo zipata jioni hii, Kutoka shule ya Baraton Adventist Secondary Scholl huko kenya ambako kunadaiwa wanafunzi walimpiga mwalimu na waka wekwa ndani na baada wanfunzi wa kenya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
http://www.youtube.com/watch?v=ui1Hgs2ODDI&hd=1 huu si ni ukatili mkubwa jameni?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Someone just sent me a link for this. The original image was posted on Blastr.com,
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Friday, September 17, 2010 8:33 AM Madaktari watano wa nchini Afrika Kusini wamepandishwa kizimbani kwa kuuza figo za watu 109 katika kipindi cha miaka miwili...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Behewa 5 zimeharibika kufuatia TRL kufanya safari zake mara moja kwa wiki ambapo inasababishwa na abiria wengi kubeba mizigo mingi kupita kiasi. Inakadiliwa kuwa kufuatia safari na mabehewa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hello! im new to this blog but happy to having this opportunity to share some experiences going on in our country Tanzania! im used to listening BBC alot, and for the past 2 days they had a...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kitambo Kidogo mmoja wa wana JF alikuwa akitafuta wimbo wa Mbaraka ulokuwa unazungumzia mashujaa wa Africa. Nimeambatanisha hapa kibao ambacho alikuwa anamlilia Mzee wetu hayati Abeid Amani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katoto.JPG (image) watoto wakibeba tofali Morogoro, Tanzania. Hisani ya mpoki.blogspot.com Je, Haya ni maisha bora????????? Shule wanaenda saa ngapi??????? Insikitisha sana
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Napenda kuwapongeza wamiliki wa magazeti ya Mwananchi, the Citizen kwa kuanzisha digital paper au e-paper. Hili ni jambo jema sana na hasa katika kipindi hiki cha "information age" ambacho...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Its really frustrating jamani,sekta muhimu kama TRA bado wanazembea kazi,hii inaonekana wazi kwenye maswala ya clearing and fowarding.Inasikitisha sana jinsi mafaili ya wateja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Friday, 17 September 2010 Freddy Macha Recently, a young Tanzanian was almost beaten to death for allegedly being in the company of an Asian woman. The incident is part of a rising backlash...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jerry Okungu IT has been a busy period for partner states in East Africa. If it wasn’t Burundi holding its elections early in the year, it was Rwanda’s turn to hold its own amidst all manner...
0 Reactions
0 Replies
904 Views
Inaonekana miaka inavyosogea ndivyo mambo yanavyokuwa hovyo. Hili linathibitishwa na kila mmoja ukimkumbusha miaka ya '80 na early '90. Kikweli miaka ile life ilikuwa tam ukichanganya na uyanki wa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hawa inabidi adhabu yao iwe mara mbili ya adhabu ya wabakaji wasio viongozi wa dini: Ustaadhi wa Madrasa akamatwa akibaka Mwanafunzi Na Samuel Msuya,Morogoro JESHI la Polisi mkoani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…