Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 371
Wan JF,
Habari nilizo zipata jioni hii,
Kutoka shule ya Baraton Adventist Secondary Scholl huko kenya ambako kunadaiwa wanafunzi walimpiga mwalimu na waka wekwa ndani na baada wanfunzi wa kenya ndio walio achiwa huru na kubakizwa ndani wanafunzi wawili wa kitanzania.
Mzazi wa mwanafunzi mmoja wapo alipigiwa simu na Head Master wa shule hio na kutaka atumiwe KSH 50,000/= Ili awasidio kumtoa mwanfunzi huyo. Na leo wako ndani siku ya Pili.
Mimi hapo ndipo nashindwa elewa ukikamatwa kenya hata kama unakosa dogo utasota sana na ninge penda Barozi zetu nje ya nchi ziwe zinashughurikia haya mambo kweli mwanafunzi anaweza kuswekwa ndani, Shule hazina utaratibu wa kulipoti issue kama hizo kwa Barozi wa TZ inchini Kenya.
Mpaka sasa wazazi wa kijana huyo mmoja wanashughurikia jinsi ya kumtoa mwanao nje nadhani watakuwa mbioni kuelekea Nairobi.
Habari nilizo zipata jioni hii,
Kutoka shule ya Baraton Adventist Secondary Scholl huko kenya ambako kunadaiwa wanafunzi walimpiga mwalimu na waka wekwa ndani na baada wanfunzi wa kenya ndio walio achiwa huru na kubakizwa ndani wanafunzi wawili wa kitanzania.
Mzazi wa mwanafunzi mmoja wapo alipigiwa simu na Head Master wa shule hio na kutaka atumiwe KSH 50,000/= Ili awasidio kumtoa mwanfunzi huyo. Na leo wako ndani siku ya Pili.
Mimi hapo ndipo nashindwa elewa ukikamatwa kenya hata kama unakosa dogo utasota sana na ninge penda Barozi zetu nje ya nchi ziwe zinashughurikia haya mambo kweli mwanafunzi anaweza kuswekwa ndani, Shule hazina utaratibu wa kulipoti issue kama hizo kwa Barozi wa TZ inchini Kenya.
Mpaka sasa wazazi wa kijana huyo mmoja wanashughurikia jinsi ya kumtoa mwanao nje nadhani watakuwa mbioni kuelekea Nairobi.