Wanafunzi wa tz huko kenya wameswekwa ndani

Wanafunzi wa tz huko kenya wameswekwa ndani

Jethro

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2009
Posts
2,219
Reaction score
371
Wan JF,

Habari nilizo zipata jioni hii,

Kutoka shule ya Baraton Adventist Secondary Scholl huko kenya ambako kunadaiwa wanafunzi walimpiga mwalimu na waka wekwa ndani na baada wanfunzi wa kenya ndio walio achiwa huru na kubakizwa ndani wanafunzi wawili wa kitanzania.

Mzazi wa mwanafunzi mmoja wapo alipigiwa simu na Head Master wa shule hio na kutaka atumiwe KSH 50,000/= Ili awasidio kumtoa mwanfunzi huyo. Na leo wako ndani siku ya Pili.

Mimi hapo ndipo nashindwa elewa ukikamatwa kenya hata kama unakosa dogo utasota sana na ninge penda Barozi zetu nje ya nchi ziwe zinashughurikia haya mambo kweli mwanafunzi anaweza kuswekwa ndani, Shule hazina utaratibu wa kulipoti issue kama hizo kwa Barozi wa TZ inchini Kenya.

Mpaka sasa wazazi wa kijana huyo mmoja wanashughurikia jinsi ya kumtoa mwanao nje nadhani watakuwa mbioni kuelekea Nairobi.
 
Wan JF,

Habari nilizo zipata jioni hii,

Kutoka shule ya Baraton Adventist Secondary Scholl huko kenya ambako kunadaiwa wanafunzi walimpiga mwalimu na waka wekwa ndani na baada wanfunzi wa kenya ndio walio achiwa huru na kubakizwa ndani wanafunzi wawili wa kitanzania.

Mzazi wa mwanafunzi mmoja wapo alipigiwa simu na Head Master wa shule hio na kutaka atumiwe KSH 50,000/= Ili awasidio kumtoa mwanfunzi huyo. Na leo wako ndani siku ya Pili.

Mimi hapo ndipo nashindwa elewa ukikamatwa kenya hata kama unakosa dogo utasota sana na ninge penda Barozi zetu nje ya nchi ziwe zinashughurikia haya mambo kweli mwanafunzi anaweza kuswekwa ndani, Shule hazina utaratibu wa kulipoti issue kama hizo kwa Barozi wa TZ inchini Kenya.

Mpaka sasa wazazi wa kijana huyo mmoja wanashughurikia jinsi ya kumtoa mwanao nje nadhani watakuwa mbioni kuelekea Nairobi.
Ndio ... mwanafunzi anawezwa kuswekwa ndani kama anafanya uhalifu!!
 
Kwa kweli iwapo hakuna sababu kubwa ya msingi ni vema mtu ukamsomesha mwanao hapa hapa kwetu.
 
Kwa kweli iwapo hakuna sababu kubwa ya msingi ni vema mtu ukamsomesha mwanao hapa hapa kwetu.
kwani ukimpiga mtu hapa kwetu siyo kosa, angeweza kuwekwa ndani hata zaidi ya siku mbili hapa kwetu...je ukiwa ugenini itakuwaje maana wanajua unaweza kimbia..
 
Wan JF,

Habari nilizo zipata jioni hii,

Kutoka shule ya Baraton Adventist Secondary Scholl huko kenya ambako kunadaiwa wanafunzi walimpiga mwalimu na waka wekwa ndani na baada wanfunzi wa kenya ndio walio achiwa huru na kubakizwa ndani wanafunzi wawili wa kitanzania.

Mzazi wa mwanafunzi mmoja wapo alipigiwa simu na Head Master wa shule hio na kutaka atumiwe KSH 50,000/= Ili awasidio kumtoa mwanfunzi huyo. Na leo wako ndani siku ya Pili.

Mimi hapo ndipo nashindwa elewa ukikamatwa kenya hata kama unakosa dogo utasota sana na ninge penda Barozi zetu nje ya nchi ziwe zinashughurikia haya mambo kweli mwanafunzi anaweza kuswekwa ndani, Shule hazina utaratibu wa kulipoti issue kama hizo kwa Barozi wa TZ inchini Kenya.

Mpaka sasa wazazi wa kijana huyo mmoja wanashughurikia jinsi ya kumtoa mwanao nje nadhani watakuwa mbioni kuelekea Nairobi.

Acha wakae kwanza wajifunze ADABU, Wasilete bad impression ya nchi yetu ugenini..
 
Acha wakae kwanza wajifunze ADABU, Wasilete bad impression ya nchi yetu ugenini..

Mwalimu anadai alipigwa na wanafunzi na waliokamatwa ni wanafunzi wengi cha ajabu waliotolewa ni wakenya wote na wakabaki wa TZ hapo mtasema ni bad impression ipi kama kosa liwe la wote na sio la watanzania peke yao, Kama kunatokea vurugu basi wanafunzi wote mpewe adhabu sawa.

Mkisha kuwa mataifa mengi kwa shule mmoja lazima tu rawama zitatupiwa kwa wageni na sio wenyeji this isnt reasonable at all! mbaya zaidi ite within EAC.
 
the question is, kuna haja ya kupeleka watoto kenya kusoma tena secondary school, where there is no A-level?
 
Back
Top Bottom