Siku sio nyingi Tigo walishusha sana bei za mawasiliano na almost kila mtu alinunua line za Tigo, sasa siku hizi naona nikitumia Tigo-Tigo ni ghali sio kama zamani..Hivi kwa sasa ni ni ipi rahisi zaidi? Zain, Voda au Zantel?
Mawasiliano kwa sasa TZ yamekuwa bei rahisi. Hawa jamaa ina maana zamani walikuwa wanatuibia sana. Mitandao karibu yote sasa kama alivyosema Katavi bei zake zinafanana kinachobaki kuchagua network iliyo nzuri kwa mawasiliano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.