Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wana JF kuna utapeli ambao kwa sasa umeenea maeneo ya kariakoo, najua wapo matapeli miaka yote ila nimeona niwatahadharishe wale ambao wanadhani hawapo. Juzi nilikuwa mtaa ule ambao vifaa vingi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimisoma ktk Daily News ya leo.. TRA wamewapiga fine na ilipwe ndani ya siku 30, wamiliki wa kila lori la mafuta ambalo lilibeba mafuta yaliyochakachuliwa na kukamtwa Kigali-Rwanda!!! faini ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Msiba mkubwa ziwa Victoria..wanafunzi 18 wafa maji WANAFUNZI 18 wa kijiji cha Lukumbi na nahodha wamekufa maji baada ya mtumbwi wao kuzama katika ziwa Viktoria.Wanafunzi hao ni pamoja na wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau ningependa kuuliza na pia kujua, hivi haya makampuni ya simu hizi promoshen za magari wanazotoa huwa wanazingatia upatikanaji wa spea? sasa hivi vodacom wana hii promosheni ya mikoko aina ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau, kwa taarifa za TCU viongozi wengi wametunukiwa PhD feki. Je ile aliyotunukiwa rais wetu JK ni miongoni mwa PhD zilizochakachuliwa? Kama ni hivyo je mkulu atanyang'anywa hiyo "hadhi"? Hii si...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani mke wa 12 wa mfalme Mswati ana miaka 22 amekutwa mikononi mwa mwanaume ambaye ni Waziri wa Sheria na rafiki wa mfalme Mswati wakila tunda haramu,habari zinasema mfalme yuko safarini...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Imetokea kwamba jina lako limetokea kushindania Hyundai i10 ya Vodacom leo usiku! Tuma tu jina lako kwenda 15544 kushiriki sasa! Bei Tshs 550/Ujumbe Vodacom: On a very serious note - Hizi SMS...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Bikini Briton arrested in Dubai A British woman has been arrested and charged with indecency after walking through a Dubai shopping mall wearing a bikini...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
WanaJF, nimeamua kuanzisha hii thread kwa lengo la kupata takwimu kamili ya idadi ya wapiga kura waliojiandikisha kwa kila mkoa na wilaya zake na kwa kila wilaya na tarafa zake na kwa kila tarafa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa wakati umefika kuishi kama tuko tarime nakumbuka siku moja nikisoma mada moja ya uhuni na wizi wa magari yalioagizwa kutoka dubai na actla kwa bei ya japan kama mapya kumbe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahumu 1:9 Mnawaza nini juu ya Bwana? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mlioko Zbar, hasa katika sekta ya Utalii nisaidieni hili. Mabinti wanne wanasoma VETA mkoani. katika kujaribu kuwatoa ktk mazingira magumu; wanatakiwa kulipa 170,000 kwa ajili ya field...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kumbukumbu zangu hazinidanyanyi JK ndo anamaliza miaka yake mitano akiwa ameongea na wanaUDSM mara moja mwaka 2006 pale alipokuja kufungua College of Engenring akazomewa na wanaUDSM tokea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Am not sure how many of you came across this..... But I have recently learned that the true 'long-form' of CCM is..... "Centralized Cash Management" And inazidi kunisikitisha kadri siku...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Picha 1- Mswahili wa Dubai 2- Mfalme wa Kuwait- Alsabah (mswahili) Wana JF nimepata mfadhili, kwa sasa niko nchi za Kiarabu, Nimeamua kukupeni elimu kidogo kuhusu...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wana JF, naombeni mnijuze kama hapa Tanzania kuna ubalozi wa Commoro ninashida mhimu sana na ofisi hizi,
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naam waungwana. Kabla sijaweka rasmi dhamira yangu ya kuwa mtabiri ningependa kujua ujira walipwao watabiri na magazeti mbalimbali yanayotolewa hapa nchini. Najua ukiongea jambo la watu walio...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hawa jamaa wanataka kutuharibia zaidi shillingi yetu amabyo tayari imeharibika! Hivi Kenya wameiweka category gani? Tanzania snubs ‘unsafe’ alert THE government has trashed claims that...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
to any one who did not make his/her own feelings/ mind as his/her God Let all together be negative against the so call CCM, coz is so dangerous in our Peaceful life in our genaration's future...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama suala hili la kitafiti ambalo linakinzana na dhana ya awali kuwa matajiri kwao ni rahisi kusaidia maskini, na huu utafiti unasema mtu wa kipato cha chini si mbinafsi, yaani usaidia wengine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…