Wana JF kuna utapeli ambao kwa sasa umeenea maeneo ya kariakoo, najua wapo matapeli miaka yote ila nimeona niwatahadharishe wale ambao wanadhani hawapo. Juzi nilikuwa mtaa ule ambao vifaa vingi...
Nimisoma ktk Daily News ya leo..
TRA wamewapiga fine na ilipwe ndani ya siku 30, wamiliki wa kila lori la mafuta ambalo lilibeba mafuta yaliyochakachuliwa na kukamtwa Kigali-Rwanda!!! faini ni...
Msiba mkubwa ziwa Victoria..wanafunzi 18 wafa maji
WANAFUNZI 18 wa kijiji cha Lukumbi na nahodha wamekufa maji baada ya mtumbwi wao kuzama katika ziwa Viktoria.Wanafunzi hao ni pamoja na wa...
Wadau ningependa kuuliza na pia kujua, hivi haya makampuni ya simu hizi promoshen za magari wanazotoa huwa wanazingatia upatikanaji wa spea? sasa hivi vodacom wana hii promosheni ya mikoko aina ya...
Wadau, kwa taarifa za TCU viongozi wengi wametunukiwa PhD feki. Je ile aliyotunukiwa rais wetu JK ni miongoni mwa PhD zilizochakachuliwa? Kama ni hivyo je mkulu atanyang'anywa hiyo "hadhi"? Hii si...
Jamani mke wa 12 wa mfalme Mswati ana miaka 22 amekutwa mikononi mwa mwanaume ambaye ni Waziri wa Sheria na rafiki wa mfalme Mswati wakila tunda haramu,habari zinasema mfalme yuko safarini...
Imetokea kwamba jina lako limetokea kushindania Hyundai i10 ya Vodacom leo usiku! Tuma tu jina lako kwenda 15544 kushiriki sasa! Bei Tshs 550/Ujumbe
Vodacom:
On a very serious note - Hizi SMS...
Bikini Briton arrested in Dubai
A British woman has been arrested and charged with indecency after walking through a Dubai shopping mall wearing a bikini...
WanaJF, nimeamua kuanzisha hii thread kwa lengo la kupata takwimu kamili ya idadi ya wapiga kura waliojiandikisha kwa kila mkoa na wilaya zake na kwa kila wilaya na tarafa zake na kwa kila tarafa...
Wapendwa wakati umefika kuishi kama tuko tarime nakumbuka siku moja nikisoma mada moja ya uhuni na wizi wa magari yalioagizwa kutoka dubai na actla kwa bei ya japan kama mapya kumbe...
Mlioko Zbar, hasa katika sekta ya Utalii nisaidieni hili.
Mabinti wanne wanasoma VETA mkoani. katika kujaribu kuwatoa ktk mazingira magumu; wanatakiwa kulipa 170,000 kwa ajili ya field...
Kama kumbukumbu zangu hazinidanyanyi JK ndo anamaliza miaka yake mitano akiwa ameongea na wanaUDSM mara moja mwaka 2006 pale alipokuja kufungua College of Engenring akazomewa na wanaUDSM tokea...
Am not sure how many of you came across this.....
But I have recently learned that the true 'long-form' of CCM is.....
"Centralized Cash Management"
And inazidi kunisikitisha kadri siku...
Picha 1- Mswahili wa Dubai
2- Mfalme wa Kuwait- Alsabah (mswahili)
Wana JF nimepata mfadhili, kwa sasa niko nchi za Kiarabu, Nimeamua kukupeni elimu kidogo kuhusu...
Naam waungwana.
Kabla sijaweka rasmi dhamira yangu ya kuwa mtabiri ningependa kujua ujira walipwao watabiri na magazeti mbalimbali yanayotolewa hapa nchini.
Najua ukiongea jambo la watu walio...
Hawa jamaa wanataka kutuharibia zaidi shillingi yetu amabyo tayari imeharibika!
Hivi Kenya wameiweka category gani?
Tanzania snubs unsafe alert
THE government has trashed claims that...
to any one who did not make his/her own feelings/ mind as his/her God
Let all together be negative against the so call CCM, coz is so dangerous
in our Peaceful life in our genaration's future...
Kama suala hili la kitafiti ambalo linakinzana na dhana ya awali kuwa matajiri kwao ni rahisi kusaidia maskini, na huu utafiti unasema mtu wa kipato cha chini si mbinafsi, yaani usaidia wengine...