Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kama kumbukumbu zangu hazinidanyanyi JK ndo anamaliza miaka yake mitano akiwa ameongea na wanaUDSM mara moja mwaka 2006 pale alipokuja kufungua College of Engenring akazomewa na wanaUDSM tokea hapa hajawai kurudi tena.
Jana katibu mkuu wa UN Dr Asha Rose Migiro tulikuwa naye pale UDSM sijui alitumwa na JK kama kinga yake?? Je JK hana huwezo wa kuwahotubia wanavyuoni??
Jana katibu mkuu wa UN Dr Asha Rose Migiro tulikuwa naye pale UDSM sijui alitumwa na JK kama kinga yake?? Je JK hana huwezo wa kuwahotubia wanavyuoni??