Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,288
- 793
Mlioko Zbar, hasa katika sekta ya Utalii nisaidieni hili.
Mabinti wanne wanasoma VETA mkoani. katika kujaribu kuwatoa ktk mazingira magumu; wanatakiwa kulipa 170,000 kwa ajili ya field.
Nimejaribu kuuliza hiyo pesa ni ya nini hasa, akanieleza kuwa ni ya nauli,kujikimu na "baraza la utalii-70,000", naomba nifahamishwe hilo "baraza la utalii" ni nini? na kuna kitu kama mtanzania anafanya field zbar alipie pesa kwa ajili ya nini? au kuna ka mradi falani hapo?
Asanteni wakuu.
Mabinti wanne wanasoma VETA mkoani. katika kujaribu kuwatoa ktk mazingira magumu; wanatakiwa kulipa 170,000 kwa ajili ya field.
Nimejaribu kuuliza hiyo pesa ni ya nini hasa, akanieleza kuwa ni ya nauli,kujikimu na "baraza la utalii-70,000", naomba nifahamishwe hilo "baraza la utalii" ni nini? na kuna kitu kama mtanzania anafanya field zbar alipie pesa kwa ajili ya nini? au kuna ka mradi falani hapo?
Asanteni wakuu.