Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ni Tamasha ipi inayofana zaidi kuliko zingine kati ya Sebene/ Bolingo na Tamasha la Hip Hop au RnB kwa wanamuziki wanaotoka nje wakisindikizwa na wasanii kutoka nchini? Mi naona za Sebene zinafana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yesu kaniokoa na mabaya mengi ya dunia, asante Yesu Kristu, siku zote wewe ni mshindi!
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Visit now BONGOWAP.HEXAT.COM for more information about your HOROSCOPE
0 Reactions
0 Replies
3K Views
its unbelievable bt wendal and karen take it all!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa wale tulioshindwa kufika Leaders, the show is live on CLOUDS TV
0 Reactions
102 Replies
9K Views
tune and watch BBA at 20.00 EAT, If ur gd tel us who gona walk away with 200,000 USD
0 Reactions
3 Replies
1K Views
...na ole wao wasanii wote wanafiki wanaotumiwa na ruge ili kurudisha nyuma harakati zetu kwa njaa zao...tumewaachia kwa muda mrefu lakini sasa its enough,nao ni kuwachana tu ili tuwachoreshe kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Redio Clouds wanatangaza kuwa kwenye show lao Leaders Club linaloendelea saa hizi kuna ulinzi wa uhakika pamoja na polisi wana ulinzi wa wanajeshi wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ. Hii imekaaje...
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Jamani Watanzania Aibu hawa wasanii wetu vipi?Hawawezi kuimba live?Mbona wanaiba kwa Cd halafu sauti mbaya sana,CLOUDS hamuoni hili ama na nyie ni kama serikali ya Ccm?AIBU TUPU.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu yangu ruge na aka joseph kwanza nawapongeza kw ajuhudi zenu ni kweli mnajitahdi kwenye ujasiriamali na natumaini mungu anawabariki na aendelee kuwabariki wazo langu na ombi ni kwamba...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Visit the best mobile website for free downloads. Latest music audios, videos, games and much more BONGOWAP.HEXAT.COM surely you will enjoy!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo nilikuwa namskiliza Mh. Sugu na jinsi nlkuwa namskiliza katika mchango wake katika wizara ya mambo ya ndani! Na ndpo nlpokubali kuwa wanabongo flavour n wakali kwenye kila idara hata siasa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Pengine wengi wanachukia fiesta lakini tatizo halisi si jinsi ilivyo bali ni ufuska unaotokea kwenye hiyo fiesta ndugu wapendwa nakumbuka mara ya mwisho nilihudhuria yaani wanawake wanaenda gizani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msanii Amy Winehouse, Ninasikitika kuwa ametutoka siku chache zilizopita, tena inauma sana kwa wale wapenzi wake kama mimi. Nilipenda sauti yake na saili yake ya kuvaa, hakujalisha maneno ya watu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu dada naona kaamua kutusaidia wale ambao Magamba bado yametufunika na hatuoni mateso yanayoendelea. Kama unafikiiri Watashi hiyo haiwakumbi, basi angalia dada anaimba kwenye studio inayoenda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi nlitokea kuipenda sana ile tamthiliya ya shade of sin iliokua inaoneshwa itv.je inapatikana madukani? .je nimaduka gani?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo nimebaki mdomo wazi yaani hata kisimu changu kidogo ninachotumia kuingia internet nimepigia simu bure? Wana JF msiikose hii tembelea BONGOWAP.HEXAT.COM utanisimulia kamuujiza aka
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Matoba.. Kayembe yoyoo bongisa......... Nzaya Nzayadio, Ndukidi, Tonele, Mombasa vata, kiamangwana mateta, daaaaaaaaaaaaaaaaaaaah wimbo mtamu saaaaaaaaaaana huuuuuuuuu inanikumbusha nikiwa hata...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
.........nichote maji pipa tano kwa mikonoo, kutoka mtoni, fikiri, nitaweza vipi!! kiitikio: Amina kipenzi changu mimi sitaweza, agizo la wazazi wako linaniwia vigumu............... (kasauti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom