Ni Tamasha ipi inayofana zaidi kuliko zingine kati ya Sebene/ Bolingo na Tamasha la Hip Hop au RnB kwa wanamuziki wanaotoka nje wakisindikizwa na wasanii kutoka nchini? Mi naona za Sebene zinafana...
...na ole wao wasanii wote wanafiki wanaotumiwa na ruge ili kurudisha nyuma harakati zetu kwa njaa zao...tumewaachia kwa muda mrefu lakini sasa its enough,nao ni kuwachana tu ili tuwachoreshe kwa...
Redio Clouds wanatangaza kuwa kwenye show lao Leaders Club linaloendelea saa hizi kuna ulinzi wa uhakika pamoja na polisi wana ulinzi wa wanajeshi wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ.
Hii imekaaje...
Jamani Watanzania Aibu hawa wasanii wetu vipi?Hawawezi kuimba live?Mbona wanaiba kwa Cd halafu sauti mbaya sana,CLOUDS hamuoni hili ama na nyie ni kama serikali ya Ccm?AIBU TUPU.
Ndugu yangu ruge na aka joseph kwanza nawapongeza kw ajuhudi zenu ni kweli mnajitahdi
kwenye ujasiriamali na natumaini mungu anawabariki na aendelee kuwabariki wazo langu na ombi
ni kwamba...
Leo nilikuwa namskiliza Mh. Sugu na jinsi nlkuwa namskiliza katika mchango wake katika wizara ya mambo ya ndani! Na ndpo nlpokubali kuwa wanabongo flavour n wakali kwenye kila idara hata siasa.
Pengine wengi wanachukia fiesta lakini tatizo halisi si jinsi ilivyo
bali ni ufuska unaotokea kwenye hiyo fiesta ndugu wapendwa nakumbuka mara ya mwisho
nilihudhuria yaani wanawake wanaenda gizani...
Msanii Amy Winehouse, Ninasikitika kuwa ametutoka siku chache zilizopita, tena inauma sana kwa wale wapenzi wake kama mimi. Nilipenda sauti yake na saili yake ya kuvaa, hakujalisha maneno ya watu...
Huyu dada naona kaamua kutusaidia wale ambao Magamba bado yametufunika na hatuoni mateso yanayoendelea.
Kama unafikiiri Watashi hiyo haiwakumbi, basi angalia dada anaimba kwenye studio inayoenda...
Leo nimebaki mdomo wazi yaani hata kisimu changu kidogo ninachotumia kuingia internet nimepigia simu bure? Wana JF msiikose hii tembelea BONGOWAP.HEXAT.COM utanisimulia kamuujiza aka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.