nilikuwa a big fan wa tusker project fame
but hii ya sasa siielewi kabisaaaa
hemed karudi kufanya nini?????????
yuko wapi dr mich???????????
alpha na davis si walishashinda????????
sasa...
wadau leo ni fiesta arusa ndani ya uwanja wa sheikh amri abed na muda huu ni wasanii wa zamanmi kidoga mandojo na domo kaya ndo wanapaform waimbo wa wanokunoku
..Wanajamvi tujikumbushe Watangazaji wa FM Redios miaka ya 90`s na 2000`s ambao walikuwa wana ueledi (professionalism) ya Muziki katika vipindi vyao vya Radio. tofauti na sasa kila ukifungua Redio...
Just let me know and I am going to sing this song to you.
YouTube - ‪Remember (Yori yori remix) Bracket ft 2Face Idibia Official video (with lyrics)‬‏
I have just finished re-ripping all my CDs (about 1300) into a 400gb of .wav files.
So nikapata idea ya kutengeneza listi ya "Nyimbo za taifa"; jina ambalo tuliziita zile nyimbo zilipendwa sana...
Nafikiri Ruge unajua nini maana ya Copytrights kwenye Music, Demo, Sound track, audio, video nk. Kitendo cha redio Clouds ambayo wewe ni mmiliki wake kutumia sauti ya Sugu kwenye matangazo ya...
Huwa si mpenzi wa hizi tamthilia, lakini hii imenikamata ingawa inaonyeshwa usiku sana. Kumbe Wakorea ni wakali.....ITV siku za j5, alhamisi na ijumaa saa 5:30 usiku!
Unajua nini? laif bongo miyeyushoo,baada ya kusafa long taim nini hatimaye juzi asubuhi kitabu changu cha kijani wamekichafua pale ubalozini.sir God hamwachi mja wake..ci unajua? laif la hapa...
Habari zilizo nifikia hivi punde ni kuwa,
Kama ilivyotarajiwa hatimaye mbunge wa mbeya mjini kwa tiketi ya CDM bwana Sugu sasa ameanza kampeni rasmi ya kulisifia na kulitangaza tamasha la Fiesta...
YouTube - ‪Sugu akiisifia Fiesta‬‏
Video ya Sugu aliyoitengeneza Marikani miaka mitatu iliyopita ikiwa kama promotion ya Fiesta wakati huo imeibuliwa na kufanyiwa editing ili...
Mbunge wa Mbeya mjini, aka Sugu ameandaa Tamasha kubwa litakaloshirikisha wasanii mbalimbali km Mchizi Mox, Mkoloni, Adili na wengineo wengi kwenye viwanja vya Rwanda Nzovwe. Kiwanja ambacho...
Inanipatia wasiwasi kuwa diwani wa Mbeya mjini amekiuka msimamo wa Mbunge wake Mh Joseph Mbilinyi kuwa Fiesta chini ya Clouds Fm hawatakwenda Mbeya kwa madai kuwa ni Mafisadi na wahujumu miradi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.