Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Za jioni waungwana, naombeni msaada wa website ambazo ni rahisi kudownload muvz mana kila nikijaribu nakutana na ugumu sana... jioni njema.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Unajua nini? laif bongo miyeyushoo,baada ya kusafa long taim nini hatimaye juzi asubuhi kitabu changu cha kijani wamekichafua pale ubalozini.sir God hamwachi mja wake..ci unajua? laif la hapa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani naomba mtu yeyote mwenye ule wimbo wa FRANK-RAPHAEL au anaejua nnapoweza kuupata anipatie au anijulishe!! Asante...
1 Reactions
14 Replies
500 Views
Habari zilizo nifikia hivi punde ni kuwa, Kama ilivyotarajiwa hatimaye mbunge wa mbeya mjini kwa tiketi ya CDM bwana Sugu sasa ameanza kampeni rasmi ya kulisifia na kulitangaza tamasha la Fiesta...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
YouTube - ‪Sugu akiisifia Fiesta‬‏ Video ya Sugu aliyoitengeneza Marikani miaka mitatu iliyopita ikiwa kama promotion ya Fiesta wakati huo imeibuliwa na kufanyiwa editing ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mbunge wa Mbeya mjini, aka Sugu ameandaa Tamasha kubwa litakaloshirikisha wasanii mbalimbali km Mchizi Mox, Mkoloni, Adili na wengineo wengi kwenye viwanja vya Rwanda Nzovwe. Kiwanja ambacho...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Inanipatia wasiwasi kuwa diwani wa Mbeya mjini amekiuka msimamo wa Mbunge wake Mh Joseph Mbilinyi kuwa Fiesta chini ya Clouds Fm hawatakwenda Mbeya kwa madai kuwa ni Mafisadi na wahujumu miradi ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
...................., you read my mind, girl i wanna shake you down, i can give you all the loving you need, come on 'n let me take you down, we'll go all the way to heaven!! you read my...
0 Reactions
4 Replies
995 Views
Nimeangalia video fupi ya Isha Mashauzi katika blog ya John Kitime Muziki muziki nakubaliana na Kitime kuwa Isha kaleta changamoto mpya. Kushiriki kwenye show na dancers wake ni jambo jipyaaaaa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Naomba kujua yupo wapi mtangazaji aliyetamba kwa vipindi vya burdani katika redio ndugu julius nyaisanga.yeyote anayejua anijuze.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekaa sehem napata flash back za congo. Nawasikiliza kabasele, mabelee, boziana, defao, wenge n.k. Ni nyimbo tamu sana ambazo ziko kwenye collection. Najiuliza, zile enzi zimeenda wapi? Sasa...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Ni kitu rahisi sana tembelea bongowap.hexat.com uandike jina la wimbo wowote uutakao moja kwa moja utaingia kwenye simu yako buree kabisa na mavitu mengine mengi
0 Reactions
5 Replies
19K Views
Hebu kumbuka enzi zile za La Paloma Jazz, Cuban Marimba, Morogoro Jazz, Les Cubano, Vina vina Orchestra,nuta jazz,vijana jazz,sikinde, Sukari Jazz, Kilombero Jazz, Malinyi Jazz, Kwiro Jazz...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nafaidi kila mara nikipitia blog hizi za muziki wa Tanzania. Wanamuziki wa Tanzania na Muziki muziki kuna mengi ambayo media ya kwetu inajifanya haiyaoni
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Katika kipindi cha PB leo asubuhi Hando kaahidi kumpatia comlementary 10 mbunge wa mbeya mjini pamoja na wapambe wake ili waje kuona tamasha kubwa ambalo hawajawahi ona. Great Thinkers mnasemaje...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Get track oucry a song of present and future by sirhustler1.
0 Reactions
0 Replies
920 Views
wajameni kuna kipindi kinaendelea on tbc ila msechu kanifurahisha sana animba kwa hisia kali sana tumpigie kura kwa wingi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
"Temptations" Yo Mo Bee main, drop that shit! "Heyyyy! Heyy-ayyaahhyy" -- [Erick Sermon] (Redman's "Watch Yo' Nugget") [sample repeats until first verse] You know what time, boo-yaow I know...
2 Reactions
0 Replies
875 Views
Wanangu! Msione humu rodi majita wanakatiza wako smati nini wanasmaili, ukimsalimiamwana anakwambia poa tu, hizi buku, buku mbili nini sio tatizo kumkuta kwa mama nanii anapiga mbili, umeona...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wanaJF tafadhali kama kuna mtuu anayo CD ya Pepe Kalle- Ce Chale Carnaval hiyo ya pepe kalle naomba anisaidie niweze kuipata maana juhudi zote za kuitafuta Dar es salaam zimeshindikana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom