Great thinker,naomba kwa ambaye ameona movie nzuri ya series anitajie ili niitafute inikeep busy,nimeangalia,legend of the seeker,merlin,robin hood,24,lost ,spartacus,prison breaker,vampire...
...kwa mjumbe ambae anajua namba za Muyenjwa Gamba anaeandaa kipindi cha Hizi Nazo kwa hisani yake anipatie. Alternatively, kwa mjumbe anaemfahamu kaka Zomboko amuulizie ili nipate hiyo contact...
Waswahili wanasema kuwa ngooma ikivuma sana hupasuka. Mashindano ya Bss japo yapo kitambo sasa yameonekana hayana tija kwa upande wa washiriki ila ni mtaji kwa waandaaji. Nasema hivi kutokana na...
Jamani ITV huyo Zomboko ni muongo sana. Karibu kila kitu anachoongea kwenye hiki kipindi hawavumi lakini wamo anaongea uwongo mtupu. Wimbo Jamaica Farewell ni Tradional song ya Jamaica na Harry...
Bill Clinton sure looks happy standing between porn stars
America's former commander-in-chief, Bill Clinton, is smiling ear-to-ear in this picture that porn star Brooklyn Lee tweeted showing...
LUKE WA LIBERIA NA JESSICA WA NAMIBIA WAMEFANYANA!!
Kwa wale wanaofuatialia reality show ya Big Brother ambayo kwa mwaka huu imepewa kilemba cha kuitwa Star game wanafahamu kwamba jana...
Wadau kwa muda sasa kumekuwa kunaendeshwa kampeni kali ya kusaka michango kwaajili ya kukusanya fedha za kugharamikia matibabu nchini India ya Msanii wa filamu nchi SAJUKI ambaye kiukweli anaumwa...
12:24 PM ET
Usher tears up in court over custody battle
Usher's battle for visitation rights with his two sons has struck a nerve.Click here: Usher tears up in court over custody battle –...
"Why do so many people connect with Marley? The answer is fairly simple: Marley was an everyman, a gentle soul and a revolutionary. Many have identified with his humble upbringing in the tiny...
Imeshakuwa kawaida, kama kawaida yetu watz, Saiv ukisikiliza redio, ukisoma magazeti na karibia media zote zinapokuwa zina ripoti mambo ya burudani na hasa muziki, utasikia neno muziki wa "bongo...
Jamani wadau wa movies, naombeni mwenye kujua namna nitapata collections za movies zinazotoka china, kama vile za Alibaba nk. anijulishe manake nataka kama peaces elfu moja kwa ajili ya kuanza...
US singer Donna Summer, famous for disco classics including I Feel Love and Love To Love You Baby, has died at the age of 63. Summer was one of disco's biggest stars and also had a huge influence...
Habari ,
Habari njema kwa wasanii wa kitanzania na wa kiafrica, kutana na official facebook page ambayo itakuwa ni ya miziki ya kiafrica mipya na ya zamani katika page ya MAMBO MUSIK ambayo...
http://youtu.be/C2q2bis6eLE
Habari za hivi karibuni zinasema kuwa mwanamuziki maarufu wa nyimbo za disco, Donna Summers amefariki dunia kwa ugonjwa wa cancer. Kwa wale tuliokuwa tunakwenda disco...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.