Donna Summers afariki dunia

Donna Summers afariki dunia

Dingswayo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
4,019
Reaction score
2,931
[video=youtube_share;C2q2bis6eLE]http://youtu.be/C2q2bis6eLE[/video]

Habari za hivi karibuni zinasema kuwa mwanamuziki maarufu wa nyimbo za disco, Donna Summers amefariki dunia kwa ugonjwa wa cancer. Kwa wale tuliokuwa tunakwenda disco miaka ile ya 70/80 mtakumbuka kuwa hakuna disco lolote la maana lililokosa kupiga nyimbo zake. Kwa ufupi ni mojawapo wa wasanii waliyoifanya disco iwe ya kinamna vyake kwa miaka ile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom