Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,930
[video=youtube_share;C2q2bis6eLE]http://youtu.be/C2q2bis6eLE[/video]
Habari za hivi karibuni zinasema kuwa mwanamuziki maarufu wa nyimbo za disco, Donna Summers amefariki dunia kwa ugonjwa wa cancer. Kwa wale tuliokuwa tunakwenda disco miaka ile ya 70/80 mtakumbuka kuwa hakuna disco lolote la maana lililokosa kupiga nyimbo zake. Kwa ufupi ni mojawapo wa wasanii waliyoifanya disco iwe ya kinamna vyake kwa miaka ile.
Habari za hivi karibuni zinasema kuwa mwanamuziki maarufu wa nyimbo za disco, Donna Summers amefariki dunia kwa ugonjwa wa cancer. Kwa wale tuliokuwa tunakwenda disco miaka ile ya 70/80 mtakumbuka kuwa hakuna disco lolote la maana lililokosa kupiga nyimbo zake. Kwa ufupi ni mojawapo wa wasanii waliyoifanya disco iwe ya kinamna vyake kwa miaka ile.