Donna Summers afariki dunia

Donna Summers afariki dunia

Dingswayo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
4,019
Reaction score
2,930
[video=youtube_share;C2q2bis6eLE]http://youtu.be/C2q2bis6eLE[/video]

Habari za hivi karibuni zinasema kuwa mwanamuziki maarufu wa nyimbo za disco, Donna Summers amefariki dunia kwa ugonjwa wa cancer. Kwa wale tuliokuwa tunakwenda disco miaka ile ya 70/80 mtakumbuka kuwa hakuna disco lolote la maana lililokosa kupiga nyimbo zake. Kwa ufupi ni mojawapo wa wasanii waliyoifanya disco iwe ya kinamna vyake kwa miaka ile.
 
Back
Top Bottom