It's beautiful, your honesty
You cry when you need to
You say what you feel
You're never afraid to wear you heart
on your sleeve
You're always so open with me
It's in your voice, I can hear...
Wakuu, ni muda sasa nimekuwa nikihitaji sana & nikitaka kujua ni aina gani ya kamera ambazo zikitumika kwenye utengenezaji wa filamu picha zitatoka bomba na angalau kuwa na ule ubora wa kimataifa...
Kwa wale waliokuwa wanafuatilia bongo flave enzi inaanza kushika hatamu basi watakuwa wanamkumbuku huyu mwana dafada Pauline Zongo the first lady from upanga east cost.
Kwa muda sasa alikuwa...
okay guyz naamini kama umeingia hii post wengi wenu mna experience na hip hop well cha kufanya itabidi utoe freestyle yenye vina vikali MTU ATAKAYESHINDA ATAPONGEZWA VOCHA 2000 KAMA UKITOKA...
Yapata wiki tatu sasa tangu msanii mwenzangu Steven Kanumba aage dunia, na kama ilivyo kwa kila kitu kinapotokea huandamana na kila aina ya maneno na hisia mbali mbali kutokana na mitazamo ya...
Napenda sana nyimbo za michael bolton na dolly parton na nimezidawnload tatizo sijui jinsi ya kufanya nipate nyimbo nzima kwa maandishi,,, nisaidieniiiiiiiii tafadhali
Maneno Ya Mwisho Ya Kanumba Kwa Mama Yake Mzazi
Pichani ni Mama Kanumba anayeitwa Flora Mtegoa
Wakati Taifa la Tanzania likiwa katika majonzi mara baada ya kupoteza moja kati ya vijana wake...
Hii inatoka kwenye filamu ya Amri Kumi:
Sephora:
She was very beautiful,
wasn't she?
This woman of Egypt, who left
her scar upon your heart.
Moses:
Her skin was white as curd,
her eyes green
as...
Hello ladies and gentlemen wa humu ndani.
Vipi week end yenu inakwendaje?
Mim week end yangu iko vizuri sana.Leo sitaki kutoka nataka kutulia nyumbani kwangu niangalie movies tu.
Napenda scary...
nakumbuka enzi zake kina kofi olomide, defao, awilo walitamba sana kwenye tuzo hizo.lady jaydee aliwahi perform na wimbo wake wa machozi:nailazimisha furaha ingawa moyoni na majonzi nani wa...
Unaweza kucheki CV yake David Guetta - Wikipedia, the free encyclopediaa
Jamaa kwa sasa ni kama anaongoza kwa kuproduce track kali zinazowarusha watu na kushika namba za juu katika chati duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.