Marumeso JF-Expert Member Oct 3, 2009 1,410 1,313 May 20, 2012 #1 Nilishangaa haya makundi mawili hayakuonekana pale tcc chang'ombe.wana tatizo gani au ni kwa sababu marehemu haKuwa msanii mwenzao?
Nilishangaa haya makundi mawili hayakuonekana pale tcc chang'ombe.wana tatizo gani au ni kwa sababu marehemu haKuwa msanii mwenzao?
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 May 20, 2012 #2 Kwani hilo kundi la akina mafisango kuna aliyeenda kumzika kanumba?
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,593 52,284 May 21, 2012 #3 Na kwenye ule umati wa Kanumba (R.I.P) unemtambua nani. spika said: Kwani hilo kundi la akina mafisango kuna aliyeenda kumzika kanumba? Click to expand...
Na kwenye ule umati wa Kanumba (R.I.P) unemtambua nani. spika said: Kwani hilo kundi la akina mafisango kuna aliyeenda kumzika kanumba? Click to expand...
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,593 52,284 May 21, 2012 #4 Kama hawakwenda ni wajinga, tena hawajui kitu.