Habari,
wote wanajf nawakaribisha katika UZINDUZI wa album mpya yetu ya CORNERSTONE GOSPEL SINGERS
itafanyika pale Kijitonyama TAG siku ya Jpili tarehe 25/11/2012 kuanzia saa 8 mchana...
Wakati mkali Chriss Brown anategemewa kuangusha burudani katika tuzo za KORA, hawa ndiyo Watanzania wanowania tuzo hizo ni Best male artist East Africa: Ali Kiba Feat Lady Jay Dee Single...
Wakati mkali Chriss Brown anategemewa kuangusha burudani katika tuzo za KORA, hawa ndiyo Watanzania wanowania tuzo hizo ni Best male artist East Africa: Ali Kiba Feat Lady Jay Dee Single...
NImetafuta 3d DVD kuanzia mlimani city, makumbusho- breki pointi, pale Ambiance bila mafanikio. Naomba msaada wapi nawea kununua hapa Dar? kama kuna mtu anayo ya aina yoyote (content) aniazime kwa...
Leo nilikuwa natazama kipindi cha reggae, ITV ila sikuvutiwa na mtangazaji wake.
Kwa mtazamo wangu, ningependa kiwe na mtangazaji anayeendana na kipindi, kama yule wa E.A TV a.k.a Baba T.
Yule...
Ndugu zangu nauliza leo..!! ili nipate kufahamikiwa, nilikuwa mimi na babaaa... mama... mke... na mwanangu......,tuliifanya safariii tukiwa ndani ya ngarawa, katikati ya bahari...
Wasanii wenzangu tuliokuwa tukiahangaika kila kukicha kutafuta jinsi ya kuonesha uwezo tulio nao sasa ufumbuzi umepatikana, nimeona sio vibaya nikitupia hapa jamvini taarifa za soko kubwa la...
Nimekuwa nasikitisha na matendo ya wanamuziki wa hii miziki laini (Blues)kuwa mashoga ni nini hasa kinasababisha hali hii? Elton john, George Michael....waweza kuongeza wengine...Je, nini ambacho...
Nilibahatika kukutana na lollypop ambae alikuwa ni mchezaji wa movie za watu wakubwa ,katika kutafuta habari zake nimegunduwa hayupo nasi tena nikahisi ni mkumbuke kwa kuweka memori zao .
Dead...
Then we went to Ocean drive for a lil' swim in the ocean.....i dont know why but the beach thing just aint for me....hahahahhahahayani i cant stand the sun on my skin for more than 10mins....yani...
ITV kuanzia tarehe 25 mwezi huu watarusha tena tamthilia ya Kibrazil iitwayo SHADE OF SIN,kwaujumla wale waliopata kuiangalia ni nzuri sana. Katika tamthilia kuna majina maarufu...
Lady Jaydee ametambulisha rasmi kipindi chake kipya cha tv kitakachoitwa "Diary ya Lady Jay Dee" kitakachorushwa na kituo cha East Africa tv
MICHUZI: KIPINDI KIPYA CHA LUNINGA CHA'DIARY YA LADY...
Wakati tuhuma kwamba wasanii wa kike 'wanatumiwa' na watayarishaji wa movie za kwenye kiwanda cha filamu Bongo, ndugu zetu kule Afrika ya Magharibu wamefika huku (soma post hapa chini). Mungu...
Nimevumilia weeeh, yamenifika kooni
sasa!
You guys wa hiki kipindi mko poa, **** the fact that kipindi chenu ni copy n' paste ya Friday Night Live.
Kuna mambo yananikera, mfano Isakwisa kudai...
What are your best novels? Mine are Sheldon's MASTER OF THE GAME and THE OTHER SIDE OF MIDNIGHT, Mario Puzzo's THE GODFATHER, Jeffrey Archer's A MATTER OF HONOR. Add others.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.