Marekebisho kidogo: Weekend Chat-Show ya Clouds TV

Marekebisho kidogo: Weekend Chat-Show ya Clouds TV

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,348
Nimevumilia weeeh, yamenifika kooni
sasa!
You guys wa hiki kipindi mko poa, **** the fact that kipindi chenu ni copy n' paste ya Friday Night Live.
Kuna mambo yananikera, mfano Isakwisa kudai kuwa huwajui YP na Y Dash vizuri, what the hell unafanya kwenye industry sasa? Sijui ndio mashauzi au nini. Kama host wa kipindi huwajui wasanii unafanya nini sasa?
Kuna siku ulidai tena eti miaka ya 2000 hukuwa unafuatilia muziki wa bongo,
hatuendi hivyo. Au ndo ulitaka ujikute
mmarekani so u dont give a shit na
mambo za kibongo? Mimi ni sports
journalist, matukio mengi ya kimichezo yalitokea hata kabla sijazaliwa lakini nimejielimisha na naweza kuyatolea maelezo vizuri. Take your time kujifunza kuhusu unachofanya, sawa
mdogo wangu?
Last time ulikuwa unabishana na Niki II kuhusu Hip-Hop na Bongo Flavor, host unabishana na mgeni wako? Sijawahi kuona hii...
Mwisho ni huyo dada ma-swag, Lady nani sijui... Bila kupepesa wala kuuma maneno ni kuwa anakera huyo dada,
anakera, anakera na ANAKERA! For better or worse, angetafuta kitu kingine cha kufanya kuliko kuwa TV host. Show zimekuwa poa sana kipindi hiki ambacho hayupo, angeondoka mazima ingekuwa poa.
By the way, Nickson na Quisah mko sawa, mapungufu yenu
yanarekebishika kama mkiyafanyia kazi.
Holla,
Mphamvu!
 
Clouds tv walikuwa wanapiga kelele sana kabla hawajaanza kuruka hewani,watu wakajua bonge la kitu linakuja town..matokeo yake ni aibu tu kila show mbovu..ubunifu hakuna mna kopi kila kitu toka EATV..izo graphics zenu zinaumiza macho tu..

Vipindi mlivyokopi kwa baba yenu EATV.
Uswazi = mwanadaresalaam

skonga= kuna kipindi km ichi hapo kwenu

friday nite live= weeknd show

bongo movies=take one

ze comedy =vuvuzela comedy nk nk nk nk
 
Mimi wanachonikera ni pale wanapopiga nyimbo na kuanza kucheza kama vile sisi watazamaji tunataka kuwaona mnavorukaruka.
Kama mnapenda kucheza mziki nendeni disko na sio kuwa wacheza mziki badala ya kuwa watangazaji.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Clouds tv walikuwa wanapiga kelele sana kabla hawajaanza kuruka hewani,watu wakajua bonge la kitu linakuja town..matokeo yake ni aibu tu kila show mbovu..ubunifu hakuna mna kopi kila kitu toka EATV..izo graphics zenu zinaumiza macho tu..

Vipindi mlivyokopi kwa baba yenu EATV.
Uswazi = mwanadaresalaam

skonga= kuna kipindi km ichi hapo kwenu

friday nite live= weeknd show

bongo movies=take one

ze comedy =vuvuzela comedy nk nk nk nk

Hata kama ni kukopi wale wamezidi.
Wamezidiwa hata na DTV kwa ubunifu...
 
Nimevumilia weeeh, yamenifika kooni
sasa!
You guys wa hiki kipindi mko poa, **** the fact that kipindi chenu ni copy n' paste ya Friday Night Live.
Kuna mambo yananikera, mfano Isakwisa kudai kuwa huwajui YP na Y Dash vizuri, what the hell unafanya kwenye industry sasa? Sijui ndio mashauzi au nini. Kama host wa kipindi huwajui wasanii unafanya nini sasa?
Kuna siku ulidai tena eti miaka ya 2000 hukuwa unafuatilia muziki wa bongo,
hatuendi hivyo. Au ndo ulitaka ujikute
mmarekani so u dont give a shit na
mambo za kibongo? Mimi ni sports
journalist, matukio mengi ya kimichezo yalitokea hata kabla sijazaliwa lakini nimejielimisha na naweza kuyatolea maelezo vizuri. Take your time kujifunza kuhusu unachofanya, sawa
mdogo wangu?
Last time ulikuwa unabishana na Niki II kuhusu Hip-Hop na Bongo Flavor, host unabishana na mgeni wako? Sijawahi kuona hii...
Mwisho ni huyo dada ma-swag, Lady nani sijui... Bila kupepesa wala kuuma maneno ni kuwa anakera huyo dada,
anakera, anakera na ANAKERA! For better or worse, angetafuta kitu kingine cha kufanya kuliko kuwa TV host. Show zimekuwa poa sana kipindi hiki ambacho hayupo, angeondoka mazima ingekuwa poa.
By the way, Nickson na Quisah mko sawa, mapungufu yenu
yanarekebishika kama mkiyafanyia kazi.
Holla,
Mphamvu!

mphamvuuuuuuuuuuuu mtambo wa kurekebisha tabia..
 
Mimi wanachonikera ni pale wanapopiga nyimbo na kuanza kucheza kama vile sisi watazamaji tunataka kuwaona mnavorukaruka.
Kama mnapenda kucheza mziki nendeni disko na sio kuwa wacheza mziki badala ya kuwa watangazaji.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Utoto unawasumbua, wote ni wazaliwa wa 90's wale.
Tabu ya Clouds ni kuajiri swagg badala ya profesheno, ila ngoja tuone kama watajirekebisha.
 
hawa kweli vimeo hawana jipya wana cop n paste kutoka dume lao eatv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom