Wakati mkali Chriss Brown anategemewa kuangusha burudani katika tuzo za KORA, hawa ndiyo Watanzania wanowania tuzo hizo ni Best male artist East Africa: Ali Kiba Feat Lady Jay Dee Single Boy, Best female artist East Africa: Saida Karoli Sakina. Best male new comer: Aslay - Niwenawe. Hivi ni kweli Watanzania upo uzalendo wa kuwapigia kura? Soma zaidi