Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jamani,nimesikia tetesi zimezagaa huku uswahilini kwetu kwamba kiasi cha hela alicholipwa Rick Ross ni milion 460 wakati wasanii wetu wa bongo walioshiriki kwenye show hiyo ya Fiesta walilipwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwenye Nyimbo yako ya kabwela ulio mshirika Rich Mavoko...kuna misemo ifuatayo... >Nimepigwa msumari wa kichwa mwili unangoja kaburi maisha yamenipiga picha nega zimetoka vivuli dunia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Oprah Winfrey says she won't judge Rihanna and Chris Brown if they rekindle their romance Winfrey says she won't be surprised if Rihanna gives Brown another chance...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni kisa kilichosimuliwa vizuri na kwa ubunifu mkubwa na mwanadada ajulikanaye kwa jina la BAHATI BUKUKU. Ni kibao kilichopigwa kwa hadhi ya kama charanga fulani,kina ujumbe ambao kwa dunia ya...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
The African Voice Newspaper UK has now released nominees for the 17th African Film Awards 2012 better known as Hollywood Awards. Winners of each category will be announced at a special ceremony in...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ijumaa hii ni fiesta mbeya Sio kawaida kwa mbeya fiesta kuja kirahisi hivi sugu alikuwa msatali wa mbele kutetea wasanii wachanga na wale wanaochipukia lakini cha kushangaza sasa hivi baada ya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu ndugu zangu.Ni miaka inazidi kukatika sijasikia habari zozote za Mwinjuma muumini.Yuko wapi?Muziki vp?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau mwenye kuweza nifahamisha jinsi ya kupata album za hawa vijana wa Hip Hop from M-Lab coz ndo Mc's nnaowakubali kwa ss..need help plzzz!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Someni hapa http://www.ifeas.uni-mainz.de/workingpapers/AP127.pdf kuhusu "The Bongo Flava industry in Tanzania and artists’ strategies for success".
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Kuanzia leo 1st Oct DStv wamebadilisha arrangement ya channels zao. Superb arrangement. Movies channels mpya. Sasa kazi ni kutafuta pesa kulipia package 2 burudani za kutosha. 2Thumbs Up DStv...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
wadau mwenye kujua jinsi ya kupata Album za hawa vijana wa M-Lab,(Stereo,One,mix tape ya Duke,Songa na Nash Mc) anaisaidie tafadhali..coz hwa jamaa huwa nawakubali kinyama yani..!!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu kwa muda sasa toka niusikie ule wimbo wa diamond nimpende nani nimekuwa na hakika kuwa ameiba mapingo ya nyimbo ile kutoka kwa mpiga tarumbeta yami sax. Naomba muusikilize huu muziki...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau, Kituo cha Televisheni cha DTV kimeamua kuja upya kama kituo cha kisasa. Katika kuja upya huko kimeamua kupita mitaa mbalimbali ya jijini Dar es Salaam na kupigiga style kama ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo vipi wapendwa, Natumaini sisi sote ni wazima ninaombi kwa mwenye nyimbo hizi za Tanzania ambazo ni Tazama Ramani utaona nchi nzuri. Na Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote Naomba kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wako wapi extra musica jamani?? hawa ndo wamenifanya nipende mziki wa bolingo
0 Reactions
2 Replies
3K Views
kuna mtanzania anaefanya mziki wake mbele,amewahi imba wimbo hu''WHY DON'T U CHAA...NGE YOUR LOVE ON MEE..WHY DONT U CHA...NGE YOUR LOVE ON MEEE...ulikua unarushwa sana na kituo cha ITV Miaka ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Napenda sana kwenda kukaa pale breakpoint ya mjini siku za ijumaa kusikikilza muziki wa asili. Lakini sifaidi nakereka sana na sauti yao ya juu wanayofungulia, ni kero tupu kwani licha ya kuharibu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imethibitika kuwa mmoja kati ya hao anaweza kudondoka kwenye kilele cha Fiesta mwisho wa mwezi huu DSM. Narudia tena, mmoja kati ya Rick Ross na Nick Minaj atadondoka kupiga show ya mwisho ya...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Hongera EBSS- 2012 Tunawapongeza kwa maandalizi mazuri na walimu wazuri kama Banana tunamwaminia. Kazi iko kwa majaji: Ule mchezo wa kubeba baadhi ya watu bila sababu tafadhali sana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
An upbeat African reality TV show grabs a rare but well induced backups from an International Development Organisation - Oxfam, and Tanzanian leading banking firm NMB!Whatch out and see our...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Back
Top Bottom