Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nichukue fursa hii kumpongeza Mh. makala, baada ya Sugu kukomaa na hii studio iliyotolewa na Rais kwa kikundi cha fleva unit kupelekwa baraza la sanaa ili kuwanufaisha wanamuziki wote serikali...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Maonesho ya vikaragosi yaliyoanzishwa na tar TV na kupewa jina la Pickaborn Puppet Show ni onesho zuri sana lililojaa ucheshi wa kweli. Wahusika wanatumia lafudhi za makabila mbalimbali hapa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Baraza la sanaa tanzania BASATA limetoa tangazo hilo, kwenu wanajamv kama una kipaji cha kuimba nafasi ni yako.nchi 79 zinashiriki.wimbo uwe na malengo ya umoja huo wa afrika,caribian,na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Black Eyed Peas rapper Will.i.am is hoping his latest track gets a giant leap up the charts after it is played for the first time on Mars. Reach For The Stars will be broadcast live from the...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
angalia show hii live kutoka moshi
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Shaggy chifu wa Wasukuma!!!, ama kweli Wasukuma tumeishiwa. Jamii yetu imejengwa katika matabaka mbalimbali ambayo nguzo zake kuu ni mila na desturi. Tatizo kubwa ambalo linaikabili jamii yetu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau naomba mwenye tittle za movie za upelelez(spy) mashuhuri na nzuri anisaidie, but siyo za series.msaada plz
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa Chamelleon atarudi kufanya onyesho Dar Live, je bifu limekwisha? Wenye habari tujuzeni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KBORNZ kwa habari za michezo na burudani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamii mnaopatikana moshi na tanga naomba mtoe feedback ya hili tamasha linaloanza leo! Inaonekana kama vile fiesta inapoteza mvuto kwa vijana wa sasa tofauti na mwanzo! Tanga na moshi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nakiri kuwa Chege mtoto wa mama side ni msanii mzuri na muziki anaupatia. Kuna wimbo wake nimeufuatilia hadi mwisho nimeshindwa kubaini alikuwa anamaanisha nini. Anasema hivi: Hili dude bwana...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Stori: Sifael Paula; www.globalpublisherstz.info RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemuita ikulu mwanamuziki anayefanya vizuri kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Nasibu...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Nani atazama hii kitu saivi?Leo wanaonesha auditions za Lindi na Arusha..it is so very much fun and funny too..
1 Reactions
16 Replies
3K Views
wadau hiyo series imenibamba ile mbaya kwanzia season 1 mpaka 7..hivi kuna series nyingine yenye vituko kama hii...kama zipo zishusheni wadau nianze kuzitafuta.. hapo kwenye himym barney stinson...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau naona kipindi kinarushwa live na kuna bendi inatumbuiza kinacho nichanganya bendi inaimba nyimbo za kiingereza wakati hao mabibi wenyewe hawajui hiyo lugha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani waungwana, kuna wimbo fulani niliusikia ktk kituo fulani cha redio skumbuki ni redio gani, unaitwa uchumi umeyumba, sijui ameimba msanii gani lakini amemshirikisha Chege. Niliusikia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ANGALIA MISS MALAWI ALIVYOMSUKUMA MISS NEW ZEALAND(VIDEO) ~ Hassbaby's (Mapacha) Huu si uungwana jaman, kwann Waafrika tunakuwa hivi?
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Bonyeza web Sauti:Afya ya Bi Kidude | Mzalendo.net Written by administrator // 21/08/2012 // Sauti // 9 Comments Salma Said, Sikiliza Repoti:
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Full kucheka machalii wa arusha wanavyowakilisha kutafuta kuingia kwny kushindania 50 milioni za epiq nation
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom