Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mimi ni msikilizaji mzuri wa RFA. Nimefika hapa Iringa na kukuta katika masafa yake ya 89.9 haisikiki, nilipowauliza wenyeji wakasema haijawa hewani kwa kama wiki mbili hivi. Nauliza imekuwaje...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Personally cio fan sana wa Bongo-fleva songs cuz rhythms, dynamics na ujumbe wa hawa singers wa Bongo huwa zinajirudia sana thou cio wote. Anyways recently nimecheck video ya Kesho-Diamond,jamaa...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Loads of movies zimekua released ds year, but this is me top 10 ¤ 10.The Amazing spiderman-Its a shocker ila ndo hivo hii imekua #10 cause well graphics zilikua nzuri but i expected something...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanabodi.. Najua tuko kwenye soko huria na bei inapangwa na watoa huduma (japo Serikali haikubali hili).. Lakini kulipa shilingi za kitanzania 128,000 kwa mwezi kwa ajili ya huduma za DSTV ni...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Napenda sana kucheza muziki,lakini napenda niwe nacheza na mwanamke,pia mwanamke ninaecheza nae huwa napenda awe huru kama anajiona kachoka kucheza nami huwa huru kuondoka.Tatizo nikicheza nao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hello great people jf. Naombeni mwenye link ya kudownload free movies nzuri au series anipatie tafadhali.maana twaelekea msimu wa sikukuu na kwa sie mabachela hatuna vya kutukeep busy. thanks in...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
My wife has just left to abroad for studies and it is almost a month now living as a bachelor. I dont know if this has to do with the freedom I have gained over the course of her absence, I have...
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Nani yuko pande hizi.. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msanii Maarufu inchini Tanzania anayejulikana kwa jina la Baba Zoro pamoja na wafuasi wake Watakuwa Mgodi wa Barrick Tulawaka ,kutumbuiza kwenye Mkesha wa Sherehe za Kumaliza Mwaka, leo tarehe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
http://m.youtube.com/watch?gl=GB&hl=en&client=mv-rim&v=QUwnCjg9ZEM Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ebu Angalia Izzo Bizness na Producer wake walivyoteleza juu ya ganda la ndizi. Jay z - 1-900 Hustler Jay-z, Memphis Bleek, and Freeway - 1-900 Hustler - YouTube Izzo BidNe$$-Utarudishwa Mbeya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
OK guys huu wimbo nakumbuka tu lyrics zake nataka kudownload sio stori za machiz wakikaa bling kwamba siku hizi nakosa furaha am sorry kama nilijikwaa mana hata tenda tz anajua we mshumaa maa...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
HABARI WA UNGWANA... Tafadhali naomba mwenye wimbo wa marehemu Nasma Khamis Kodogo uitwao "PENZI SI MZIZI" anisaidie au hata albamu nzima ya "MAMBO YAKO HUKU", nitashukuru kw ushirfikiano...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Mwimbaji Ray C yupo taabani,kwa ajili ya madawa ya kulevya. Pole sana Ray C.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wanazuoni!!! Ninaomba mwenye kuijua link ya kuudownload wimbo wa Maalim Gurumo__'TUNATOANA ROHO YARABIII, KWA MALI ALIZOACHA BABA'. Ninawatakieni Majukumu mema
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jaman naomba kujua package za dstv na channels zake kwa yeyote anayefahamu ingawa ni usumbufu bt naomba msaada kuna kitu kinanichanganya,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi binafsi naona movie ya kiintelijensia wakicheza Mat Damon,Mark Wahlberg ,pamoja na mzee Michael Scofield itakuwa kali sana,wewe waonaje??
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VITUKO VYA MASTAA Hii inaweza kuwa ni kama vile utani au propaganda eeh!!!Unajua katika maisha ya binadamu kila mtu kuna vitu fulani anavipitia katika maisha yake.Katika vitu hivyo vipo vile...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Serikali ya jamuhuri ya muungano wa tanzania,kupitia mamlaka ya mapato tanzania(TRA),kwa kushirikiana na BASATA,Bodi ya Filamu Tanzania(TFCB),chama cha hakimiliki na hakishiriki Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom