Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Leo nilikuwa natazama kipindi cha reggae, ITV ila sikuvutiwa na mtangazaji wake. Kwa mtazamo wangu, ningependa kiwe na mtangazaji anayeendana na kipindi, kama yule wa E.A TV a.k.a Baba T. Yule...
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Ndugu zangu nauliza leo..!! ili nipate kufahamikiwa, nilikuwa mimi na babaaa... mama... mke... na mwanangu......,tuliifanya safariii tukiwa ndani ya ngarawa, katikati ya bahari...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wasanii wenzangu tuliokuwa tukiahangaika kila kukicha kutafuta jinsi ya kuonesha uwezo tulio nao sasa ufumbuzi umepatikana, nimeona sio vibaya nikitupia hapa jamvini taarifa za soko kubwa la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?NR=1&v=0p8VpDGAY_U&feature=fvwp Mchaguwa Jembe
1 Reactions
0 Replies
978 Views
Nimekuwa nasikitisha na matendo ya wanamuziki wa hii miziki laini (Blues)kuwa mashoga ni nini hasa kinasababisha hali hii? Elton john, George Michael....waweza kuongeza wengine...Je, nini ambacho...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nilibahatika kukutana na lollypop ambae alikuwa ni mchezaji wa movie za watu wakubwa ,katika kutafuta habari zake nimegunduwa hayupo nasi tena nikahisi ni mkumbuke kwa kuweka memori zao . Dead...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
  • Closed
Then we went to Ocean drive for a lil' swim in the ocean.....i dont know why but the beach thing just aint for me....hahahahhahahayani i cant stand the sun on my skin for more than 10mins....yani...
0 Reactions
141 Replies
119K Views
380 views0 comments 257 views0 comments 380 views0 comments
0 Reactions
6 Replies
3K Views
ITV kuanzia tarehe 25 mwezi huu watarusha tena tamthilia ya Kibrazil iitwayo SHADE OF SIN,kwaujumla wale waliopata kuiangalia ni nzuri sana. Katika tamthilia kuna majina maarufu...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Lady Jaydee ametambulisha rasmi kipindi chake kipya cha tv kitakachoitwa "Diary ya Lady Jay Dee" kitakachorushwa na kituo cha East Africa tv MICHUZI: KIPINDI KIPYA CHA LUNINGA CHA'DIARY YA LADY...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msanii huyu amefariki leo asubuhi baada ya kujifungua. Mungu alilaze mahali pema peponi. Source: M/kiti wa CCM taifa kupitia TBC/ITV
0 Reactions
8 Replies
4K Views
kuna website gani au wapi naweza kupata kuangalia online au kudownload tamthilia ya La Revancha au the revenge
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WWW.LOADZOOM.COM KAZI KWAKO:bange:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati tuhuma kwamba wasanii wa kike 'wanatumiwa' na watayarishaji wa movie za kwenye kiwanda cha filamu Bongo, ndugu zetu kule Afrika ya Magharibu wamefika huku (soma post hapa chini). Mungu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimevumilia weeeh, yamenifika kooni sasa! You guys wa hiki kipindi mko poa, **** the fact that kipindi chenu ni copy n' paste ya Friday Night Live. Kuna mambo yananikera, mfano Isakwisa kudai...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
What are your best novels? Mine are Sheldon's MASTER OF THE GAME and THE OTHER SIDE OF MIDNIGHT, Mario Puzzo's THE GODFATHER, Jeffrey Archer's A MATTER OF HONOR. Add others.
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Naomba kuuliza, hivi ni kwa nini ma dj wetu wanapenda kupromote vitu vya kijinga kama bongo fleva na kuubatiza kuwa muziki wetu? Kwa sasa karibia kila mmoja hapa Tanzania anajuwa kuwa huu muziki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii muvi inaitwa CID,ni ya kibongo yani inakatisha sana tamaa hvi inamaana hua hawa jamaa hawaangalii kazi za wenzao wa nje? hadi nikaona aibu kwa maana wenzetu wa nchi zingine wakiona...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Je ni "BSS" au "RCS" - Rita Cash Search? Kama ni BSS wako wapi hao "mastaa" waliowasearch miaka ya nyuma? Mbona "vijistaa" vyote vinavyotamba nchini havijapitia BSS?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
jaman,nisaidieni ni website gani naweza kupata movie ..hasa zile za nje zilizokua composed from novels kama vile ''great expectation'' by charles dickens..msaada please kwa wanaojua
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom