Leo nilikuwa natazama kipindi cha reggae, ITV ila sikuvutiwa na mtangazaji wake.
Kwa mtazamo wangu, ningependa kiwe na mtangazaji anayeendana na kipindi, kama yule wa E.A TV a.k.a Baba T.
Yule...
Ndugu zangu nauliza leo..!! ili nipate kufahamikiwa, nilikuwa mimi na babaaa... mama... mke... na mwanangu......,tuliifanya safariii tukiwa ndani ya ngarawa, katikati ya bahari...
Wasanii wenzangu tuliokuwa tukiahangaika kila kukicha kutafuta jinsi ya kuonesha uwezo tulio nao sasa ufumbuzi umepatikana, nimeona sio vibaya nikitupia hapa jamvini taarifa za soko kubwa la...
Nimekuwa nasikitisha na matendo ya wanamuziki wa hii miziki laini (Blues)kuwa mashoga ni nini hasa kinasababisha hali hii? Elton john, George Michael....waweza kuongeza wengine...Je, nini ambacho...
Nilibahatika kukutana na lollypop ambae alikuwa ni mchezaji wa movie za watu wakubwa ,katika kutafuta habari zake nimegunduwa hayupo nasi tena nikahisi ni mkumbuke kwa kuweka memori zao .
Dead...
Then we went to Ocean drive for a lil' swim in the ocean.....i dont know why but the beach thing just aint for me....hahahahhahahayani i cant stand the sun on my skin for more than 10mins....yani...
ITV kuanzia tarehe 25 mwezi huu watarusha tena tamthilia ya Kibrazil iitwayo SHADE OF SIN,kwaujumla wale waliopata kuiangalia ni nzuri sana. Katika tamthilia kuna majina maarufu...
Lady Jaydee ametambulisha rasmi kipindi chake kipya cha tv kitakachoitwa "Diary ya Lady Jay Dee" kitakachorushwa na kituo cha East Africa tv
MICHUZI: KIPINDI KIPYA CHA LUNINGA CHA'DIARY YA LADY...
Wakati tuhuma kwamba wasanii wa kike 'wanatumiwa' na watayarishaji wa movie za kwenye kiwanda cha filamu Bongo, ndugu zetu kule Afrika ya Magharibu wamefika huku (soma post hapa chini). Mungu...
Nimevumilia weeeh, yamenifika kooni
sasa!
You guys wa hiki kipindi mko poa, **** the fact that kipindi chenu ni copy n' paste ya Friday Night Live.
Kuna mambo yananikera, mfano Isakwisa kudai...
What are your best novels? Mine are Sheldon's MASTER OF THE GAME and THE OTHER SIDE OF MIDNIGHT, Mario Puzzo's THE GODFATHER, Jeffrey Archer's A MATTER OF HONOR. Add others.
Naomba kuuliza, hivi ni kwa nini ma dj wetu wanapenda kupromote vitu vya kijinga kama bongo fleva na kuubatiza kuwa muziki wetu? Kwa sasa karibia kila mmoja hapa Tanzania anajuwa kuwa huu muziki...
Hii muvi inaitwa CID,ni ya kibongo yani inakatisha sana tamaa hvi inamaana hua hawa jamaa hawaangalii kazi za wenzao wa nje? hadi nikaona aibu kwa maana wenzetu wa nchi zingine wakiona...
Je ni "BSS" au "RCS" - Rita Cash Search? Kama ni BSS wako wapi hao "mastaa"
waliowasearch miaka ya nyuma? Mbona "vijistaa" vyote vinavyotamba nchini havijapitia
BSS?
jaman,nisaidieni ni website gani naweza kupata movie ..hasa zile za nje zilizokua composed from novels kama vile ''great expectation'' by charles dickens..msaada please kwa wanaojua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.