Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

movie gani kali nikaitafute wikiend hii?
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari za jioni wana jamvi,naami ijumaa ya Leo ipo shwari.Leo nimeona tujikumbushe kidogo wacheza disco waliwahi kutamba sana enzi hizo kabla ya kuja hiki kizazi cha bongofleva na Si vibaya...
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Abraham licoln vs zombies n nouvuuma
0 Reactions
0 Replies
1K Views
daaa jana bhana nilikuwa natizama kipindi cha TAGZ WEEKLY cha dtv sasa kulikuwa kuna tuhuma za yule mshikaji aliyekopi aidia ya ile ngoma ya platinum ya mbagala eti yakwamba jamaa anamfanyia k2...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wasanii mbalimbali wa muziki wa kufoka maarufu kama Hip Hop leo walikutana katika kikao cha wasanii wanaofanya sanaa na muziki wa aina hiyo, kilichoandaliwa na Asar Entertaiment na Alliance...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari za wikiend, Kuna wakati kulikuwa na uzi nyingi zilizokuwa na maswali mengi juu ya kupotea kwa mkali John Dillinga JD, DJ mkali africa mashariki. Wapo wengi waliokosa entertainment...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Jazz composer, pianist Dave Brubeck diesBy By PAT EATON-ROBB | Associated Press – 12 minutes ago View Gallery Dave Brubeck sits next to a piano in Monterey, California, in this file image...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nikiwa mdau wa habari, nasikitika kusema kwamba pamoja na sifa zote alizojizolea, Bw. Tido Mhando alikosea sana kubadili jina kutoka RTD ililozoeleka sana kwenda TBC Taifa. Matokeo yake sasa, hiyo...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi ni mpenzi wa mchezo wa Chess, ningependa kufahamu ni sehemu gani hapa Dar, ambapo nitaweza kupata sehemu ambapo mchezo huu watu wanapenda kucheza au some sort of club ambapo watu wanacheza...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
November 2012 Kitu kipya toka kwa Christian Bella kiendacho kwa jina 'Msaliti' ktk mfumo wa audio, endelea kusikiliza Audio kwa hisani ya atalaku wa youtube
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Hivi juzi kati nilisikia Anti Ezekiel na Jacob Steven au JB walitangazwa kuwa mabalozi wa ving'amuzi vya Zuku, lakini kwa haya mambo yanayooneshwa na mabalozi hawa kwenye matamasha ya Fiesta...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
ndio iko live TBC1, karibuni wanaoifuatilia
0 Reactions
9 Replies
2K Views
http://youtu.be/_9Z2XpxlWIM
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mshiriki wa maisha plus aliyeshika nafasi ya kwanza na kupata zawadi ya kitita cha shilingi m20 azimia ghafla kabla hafla ya sherehe hizo kwisha.
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Mystikal feat. Pharrell - Shake Ya Ass - YouTube
0 Reactions
0 Replies
845 Views
jamani kanga moko wako wapi? je kundi la shilole vp? na wale wa mtandio wapi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Hebu tuongelee kidogo kuhusu hawa vijana wanaochipukia ktk utajiri/umaarufu, typical example: Sharobaro. Hawa vijana (wake kwa waume) kwa kweli wanahitaji watu wa kuwa kama...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Ama kweli zikisha pita siku hazirudi nyuma https://www.youtube.com/watch?v=VVIpBCaZJVI
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WASANII KIBAO WAMUIMBIA SHARO MILIONEA!! CLICK HAPA NASMILETZ: SUMA MNAZARETI KUFANYA NGOMA KWA AJILI YA SHARO@ISIKILIZE HAPA
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wana JF, Leo nilikuwa naangalia TBC1 TV nikakutana na inayosemekana kuwa ni reality TV show inayoongozwa na aliyekuwa mtangazaji wa power breakfast show ya Clouds FM Masooud Kipanya. Show hii...
0 Reactions
86 Replies
22K Views
Back
Top Bottom