DAZ Nundaz,rudini mzigoni

DAZ Nundaz,rudini mzigoni

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,139
Leo asubuhi,nilisikiliza wimbo wa kitambo kidogo wa kundi la zamani la muziki wa kizazi kipya-Daz Nundaz uitwao Jahazi. Katika wimbo huu,Daz Nundaz wanaimba wakiwa wote:Critic,Daz Baba,Ferooz,Larumba na Sajo. Waliimba vizuri sana.Kila mmoja aliimba kwa umaridadi sana.

Kiukweli,wimbo huu umenikumbusha uwepo wa kundi hili. Nawaomba popote mlipo na chochote mfanyacho mnisikie.Mnahitajika kurudi kundini na kufanya kazi zenu. Sameheaneni na kusonga mbele. Umoja ni nguvu,utengano ni udhaifu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom